GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kwa mafanikio ambayo timu ya Yanga imeyapata anatamani kumshauri Gavana wa Benki Kuu (BoT) kuweka nembo ya klabu hiyo kama kungekuwa na noti ya Sh100 kuyaenzi mafanikio hayo.
Chanzo: mwanaspoti_tz
Sasa kama Mtu mwenye Doctorate anasema Pumba hivi tukisema kuwa Watu hawa ni Majuha tutakuwa tunakosea?
Chanzo: mwanaspoti_tz
Sasa kama Mtu mwenye Doctorate anasema Pumba hivi tukisema kuwa Watu hawa ni Majuha tutakuwa tunakosea?