GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huna Akili kama Yeye na Klabu husika.Huo ni utani Mzee wewe, kwani Kuna noti ya Sh 100
Nawe hebu jiongeze kabla hujawaparamia viongozi.
Utani kwenye mambo siriasi sio utani ni upuuzi ambao haukubaliki.Huo ni utani Mzee wewe, kwani Kuna noti ya Sh 100
Nawe hebu jiongeze kabla hujawaparamia viongozi.
Kutwa Una shinda jamii forum kuanzisha thread za kiboya unazidiwa hata Na lucasWaziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kwa mafanikio ambayo timu ya Yanga imeyapata anatamani kumshauri Gavana wa Benki Kuu (BoT) kuweka nembo ya klabu hiyo kama kungekuwa na noti ya Sh100 kuyaenzi mafanikio hayo.
Chanzo: mwanaspoti_tz
Sasa kama Mtu mwenye Doctorate anasema Pumba hivi tukisema kuwa Watu hawa ni Majuha tutakuwa tunakosea?
Kiongozi wa kitaifa inatakiwa achunge,(atunze kauli zake), hasa tungo tata km vile wanao kataa tozo wahamie........Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kwa mafanikio ambayo timu ya Yanga imeyapata anatamani kumshauri Gavana wa Benki Kuu (BoT) kuweka nembo ya klabu hiyo kama kungekuwa na noti ya Sh100 kuyaenzi mafanikio hayo.
Chanzo: mwanaspoti_tz
Sasa kama Mtu mwenye Doctorate anasema Pumba hivi tukisema kuwa Watu hawa ni Majuha tutakuwa tunakosea?