Elections 2010 HALI HALISI: Maeneo yenye mwamko kisiasa Tanzania

Elections 2010 HALI HALISI: Maeneo yenye mwamko kisiasa Tanzania

Lu-ma-ga

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
4,780
Reaction score
3,227
Nimegundua kuna wanjamii wanapost kwa mtindo wa bora liende.Niwa tahadhalishe kuwa hapa tunaelimishana kwa yale ambayo mmoja hajui.So we must provide information based on informed daata and not for the sake.
Kuna jamaa kasema eti kama Dr.Slaa ataanguka ktk uchaguzi basi watu wa mikoa ya Tabora, Mwanza na shinyanga watakuwa wamechangia kwa kuwa ni watu wa ndiyo mzee.

Labda ni msaidie kuwa pamoja na wizi wa hali ya juu wa kura na CCM bado mikoa aliyotaja imewahi kuibuka kidedea japo na jimbo moja au zaidi kama ifuatavyo
  1. Mkoa wa Shinyanga 1995-2005 majimbo ya bariadi magharibi na mashariki yamekuwa chini ya upinzani-UDP
  • mwaka 1995-2010 Kata ya Ipililo wilayani Maswa imekuwa chini ya chama hafifu kabisa cha CHAUSTA na diwani wake Bwana Kasulumbayi mwaka huu anagombeaCHADEMA jimbo la Maswa Mashariki na anang'ara as usual
  • Jimbo la kisesa wilayani meatu limewahi kuwa chini ya UDP 2000-2005
2. Mkoa wa Mwanza jimbo la Magu limewahi kuwa chini ya UDP 1995-2000 chini ya mzee Mapesa
3. Mkoa wa tabora jimbo la urambo lilikuwa chini ya NCCR-Mageuzi 1995-2000

Tujitahidi kutoa informed data kuliko ushabiki,kuna mikoa ambayo haijatwawaliwa na upinzani vni vema mkatumia nafasi hii kutoa malinganisho mfano Dodoma ,Singida, Tanga, mtwara n.k ili kuleta tija ktk mabadiliko
Nawasilisha
 
kweli kabisa watu wanatoa michango bila kuwa takwimu sahihi, bora we umeweka wazi manake taarifa ikiwa siyo kweli inapotosha jamii yote.
 
Nimegundua kuna wanjamii wanapost kwa mtindo wa bora liende.Niwa tahadhalishe kuwa hapa tunaelimishana kwa yale ambayo mmoja hajui.So we must provide information based on informed daata and not for the sake.
Kuna jamaa kasema eti kama Dr.Slaa ataanguka ktk uchaguzi basi watu wa mikoa ya Tabora, Mwanza na shinyanga watakuwa wamechangia kwa kuwa ni watu wa ndiyo mzee.

Labda ni msaidie kuwa pamoja na wizi wa hali ya juu wa kura na CCM bado mikoa aliyotaja imewahi kuibuka kidedea japo na jimbo moja au zaidi kama ifuatavyo
  1. Mkoa wa Shinyanga 1995-2005 majimbo ya bariadi magharibi na mashariki yamekuwa chini ya upinzani-UDP


  • mwaka 1995-2010 Kata ya Ipililo wilayani Maswa imekuwa chini ya chama hafifu kabisa cha CHAUSTA na diwani wake Bwana Kasulumbayi mwaka huu anagombeaCHADEMA jimbo la Maswa Mashariki na anang'ara as usual
  • Jimbo la kisesa wilayani meatu limewahi kuwa chini ya UDP 2000-2005
2. Mkoa wa Mwanza jimbo la Magu limewahi kuwa chini ya UDP 1995-2000 chini ya mzee Mapesa
3. Mkoa wa tabora jimbo la urambo lilikuwa chini ya NCCR-Mageuzi 1995-2000

Tujitahidi kutoa informed data kuliko ushabiki,kuna mikoa ambayo haijatwawaliwa na upinzani vni vema mkatumia nafasi hii kutoa malinganisho mfano Dodoma ,Singida, Tanga, mtwara n.k ili kuleta tija ktk mabadiliko
Nawasilisha

nataka kujuwa tu hiyo mikoa iliyo ongozwa na wapinzani, ina maendelea gani hadi sasa..!

View attachment 14256
 
nataka kujuwa tu hiyo mikoa iliyo ongozwa na wapinzani, ina maendelea gani hadi sasa..!

View attachment 14256

Kwani serikali ilikuwa ya upinzani? Akiwepo mbunge mmoja mwaminifu ambaye yupo kwa ajili ya maslahi ya taifa na jimbo halafu anashindana na wezi 200 wa CCM ambao wapo kwa ajili ya kuidhinisha ufisadi wa CCM unategemea hayo maendeleo yatatokeaje?

Ndiyo maana tunasema mwaka huu tumpe Uraisi Slaa halafu na wabunge tuchague wengi zaidi wa upinzani ili hawa wabakaji wa uchumi wetu wasipate nafasi ya kupitisha wizi mwingine katika serikali takatifu ya Dr W. P. Slaa. Seriakali itakayoongozwa na nguvu za Mungu, siyo kama CCM inayoongozwa kwa nguvu za giza. Rais Slaa atalindwa na Malaika na si majini kama yanayomlinda Kikwete.

Chagua CHADEMA, CHAGUA Slaa!
 
Tafadhali usisahau Kagera, jimbo la Bukoba mjini mwaka 2005 Rwakatare alishinda tena kwa kura nyingi tu ila kutokana na janja ya CCM, ubunge akapewa Kagasheki. Mwaka huu hakuna janja ya nyani kila mtu ni mlinzi wa kura yake, tuone sasa kama Kagasheki atarudi.
 
Jamani Dar es salaam Tunatia Aibu, Vinjaa vya siku mbili visituponze kwa miaka kumi. Ili naweka wazi mwenye chuki na anichukie VIZEE VYA KARIAKOO VIMEZIDE UKABWELA WALA MAKAMBA HAKUONGOPA, Kariakoo kuna support kubwa ya CCM. Wajumbe, Madiwani hadi Mbunge wote ni CCM.

Tunashindwa kimawazo sana na wenzetu wa mikoani. Nani Aliesikia Kauli ya ZUNGU Mbunge wa ILALA Bungeni, kama yupo naomba Anitukane, Ina maana K.Koo hakuna Kero?!. Wamachinga wenzangu TUSIDANGANYIKE, BARABARANI TUUZE LAKINI CCM NO!.

'Dar es salaam Standup put your hands up..'

😛eace:
 
musoma vijijini - 1995/2000, lilikuwa chini ya CHADEMA (ndobho),Bunda pia 1995/2000 CHADEMA (wassira tyson),mwibara 1995/2000 NCCR MAGEUZI (mtamwega Mgaywa)
 
Back
Top Bottom