Pesa huwezi kuipata hovyohovyo au kirahisi kama huna shughuli maalum na halali ambayo inakuingizia kipato au hivyo pesa unayoilalamikia wewe haipatikani. Unakaa vijiweni kupiga umbea na majungu, halafu unakuja kuilalamikia CCM fala wewe! Nenda sokoni kawaulize vijana wenzako wanaojitambua na wasio na haya kama hawapati pesa au wanapata, wafate vinyozi, wafate vijana kariakoo, wafate, makondakta, waendesha bajaji, pikipiki na madereva. Unashindwa hata na makahaba?!
Kweli vijana ni mzigo hili taifa.
Na kwa taarifa yako, CCM haitakuja kutoka..., utakufa utaiacha.