Django unchained
Senior Member
- Sep 3, 2015
- 102
- 158
- Thread starter
-
- #21
Yaan ni balaa boss ..nashindana na nafsi aMkuu hiyo wengi inatukuta mkuu
Nyundo tosha ...mkuuWanawake ndio wanapenda kulazimisha kuhamia nyumba uliyojenga
Yaelekea wewe huna mke
Asante ..sanaSio kwamba hutaki kuhamia bali kisaikolojia ubongo wako unapingana na mabadiliko.....uoga was kimabadiliko ni hali ya kimaumbile Kwa wanadamu......ndio maana.....waliofanikiwa zaidi kimaisha ni wale waliomua kwenda kinyume na utashi was nafsi zao kwani wakati mwingine nafsi hupotosha Kwa sababu ya uoga tu........
Ikarahishe nafsi na uhamie kwako baada ya muda utakuwa poa baada ya ku adapt mazingira mapya na kuyafurahikia......
Watu wengi hali hizi wanazihusianisha na uchawi hali ya kuwa si kweli hata kidogo......
Umejenga bagamoyoHabari ...
Nimejenga nyumba nimeimaliza kiasi cha kuweza kuhamia, ila nasumbuliwa na hali ya uvivu sana kwenye kuhamia...wakat mwanzoni nilikua na mzuka wa kujenga na kumaliza ..nakutamani kuhamia.
Nimekua mvivu na mzito kuliko.
Sababu ya viwanja bei rahisiShida ya kujenga eneo usilolipenda
🤣🤣🤣🤣Nimeupenda mwandiko wako.Kitaalamu tungesema "unadonyoa"!
Mkuu yani hapa umeongea ukweli mtupu,mimi bila mke wangu nisingehamia kwangu Mivumoni kwa kweli,kwanza nilikuwa napaona mbali pili nilikuwa sijaweka tiles bado ila umeme nilikuwa tayari nimeshaweka,kuna siku wife akaniambia yani kodi hii ikiisha mimi nabeba vitu na watoto nitawakuta Mivumoni,kwa kweli mke wangu anamchango mkubwa sana wa kuhamia kwenye nyumba yetu.Wanawake ndio wanapenda kulazimisha kuhamia nyumba uliyojenga
Yaelekea wewe huna mke
🤣🤣🤣Uwende na mchungaji mwaminifu
Kweli kbsShida ya kujenga eneo usilolipenda
Hapana mkuu,nimejenga kahama vijijin. ila mim ni mkazi wa dar ndo nyumban ..kahama mambo ya utaftaji tu.Umejenga bagamoyo
Ni kweli kabisa mkuu, mke ndo anahamasisha.Mkuu yani hapa umeongea ukweli mtupu,mimi bila mke wangu nisingehamia kwangu Mivumoni kwa kweli,kwanza nilikuwa napaona mbali pili nilikuwa sijaweka tiles bado ila umeme nilikuwa tayari nimeshaweka,kuna siku wife akaniambia yani kodi hii ikiisha mimi nabeba vitu na watoto nitawakuta Mivumoni,kwa kweli mke wangu anamchango mkubwa sana wa kuhamia kwenye nyumba yetu.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Pazuri japo ni nje ya mji, umeme maji yapoShida ya kujenga eneo usilolipenda
Hapana mkuu,nimejenga kahama vijijin. ila mim ni mkazi wa dar ndo nyumban ..kahama mambo ya utaftaji tu.
Ukafanyaje boss [emoji846]Nadhani ulinunua kiwanja eneo ambalo umepata kiwanja sio ulipo papenda, au usikute wakati ujenzi unaendelea ukagundua viashiria yakutokuwa sehemu nzuri kama majerani usio wapenda maana hata mimi nilinunua kiwanja sehemu ila nilipokuwa najenga nikaona kabisa kuwa siendani sawa na majiranj waliopo