Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Ni kawaida kuona wanasiasa wakiwarubuni wananchi kwa kuwapa maneno matamu sana na yenye matumaini hapo mbeleni. Lakini cha kushangaza utekelezaji wake ni karibia na kipindi cha uchaguzi ndo utaona hao jamaa wapo busy sana kuboresha vitu napo kwa kulipua.
Sasa hili Taifa la kesho linaweza kujengwa kati hali hii?
JK tembeza bakuri basi angalau Taifa la kesho lisikalie vitofauri na kukaa kwenye madarasa ya vumbi kama hili. Elimu ni jambo la msingi kwa binadamu kuliko bakuri unalo tembeza la vyandarua ambavyo vinaishia wa wajanja wachache na wewe ukiwa kimya.
Ukiwa kama mkuu wa kaya kuna changamoto kubwa mbele yako inua Elimu.