Hivi kumbe hua nikweli...[emoji15] [emoji15]Treysong akiona vile vimatako vya vanesa vilivyo na mabaka mabaka kama kombati za jeshi si atatoka mbio chumbani!
Ebu tupia hapa hicho kivuli halisiAlafu hiyo picha ni edited, imewekewa kiza kiza ili kuwaaminisha watu ilikuwa usiku wa kunjunjana, but picha yenyewe original mbona ipo kawaida tu?
jaribu kusearch google mkuu utaona,Ebu tupia hapa hicho kivuli halisi
Weka original kuu[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Alafu hiyo picha ni edited, imewekewa kiza kiza ili kuwaaminisha watu ilikuwa usiku wa kunjunjana, but picha yenyewe original mbona ipo kawaida tu?
Bora ukigongewa kimya kimya unaugulia moyoni ila ya bwana juma inauma sana mbaya zaidi Tanzania nzima wanajua kua umegongewa halafu mchizi alo mkaza demu wako anaonekana kabisa km mlalaji mzuri wa chooni teh teh teh.....Ila kugongewa ni maumivu makali mkuu....yaani apo unadharaulika pande zote,mgongaji na mgongwaji wanakuona wa kawaida saana.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] watu ckuiz hawaangalii uzurvanessa ana uzuri gani wakulala na treysong
Jux anatumia Vanessa kama platform tuu kuuza mziki wake Vanessa mwenyewe ni msagaji bingwa utamwambia nin?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Unajua kinachomuuna jux ni ile shobo yake ya kila akiwa jukwaani haishi mtaja Vanesaa kama the utamuzii wake....hakujua kama kuna akina manfongo kibao mpaka ulaya.Eti kasusa!!!
Naaaah!Lakin kapo ya vee na trey songs inaendana juma jux na vee mmmhh nah nah nah jux sio handsome hata kdg anabebwa na body structure ,pozi,na outfits bsii labda na hela kama anazo (am nt sure) na fame basiii hakuna kingine
Makubwaaaaa!Kuna wasagaji lesbians na wengine ni bisexual ambao mara nyingi wanapenda kuwa na boyfriend. Kama unayosema ni kweli, basi Jux ni lucky man, if you know what I mean!