Hali iliyomtokea Jux kumegewa dem na Trey Songz ni kiki au?

Makubwaaaaa!
Inakuwaje mwanaume anakuwa ni mwenye bahati kwa kutoka na lesbo?
Dadavua Mkuu...


Kaongea kuhusu wasagaji. Nimesema wako wa aina mbili, lesbos na bisexual. Hawa bi wanapenda kutoka na wanaume na wanawake. Baadhi ya wanaume watanielewa, if your patner ni bi hiyo ni dream come true. Kwasababu wanaume (si wote) kilasiku wanaota threesome. Yaani [HASHTAG]#TRIO[/HASHTAG]
 
Duuu v money na mforeigner n matumaini yangu hatakuwa katuangusha maana ni mechi inayokutanisha mataifa mawili.
Nimekuelewa sana ko aki toa mbwa yy ni sawa kuwa tume para miwa taifa zima bas atuwakilishe vyema
 
Na iwe fundisho,kwa mujibu wa SHILAWADU nasikia wame _"unfollowiana" Jux kasahau Huu mchezo hauhitaji hasira.

Unajua wanawake hasa hawa wadada sio watu wa kuwaamini na kuwaweka rohoni saaana.....mwisho wake ndo kama yule jamaa aliye jirusha toka juu ya mjengo.
 
Bora ukigongewa kimya kimya unaugulia moyoni ila ya bwana juma inauma sana mbaya zaidi Tanzania nzima wanajua kua umegongewa halafu mchizi alo mkaza demu wako anaonekana kabisa km mlalaji mzuri wa chooni teh teh teh.....

Mkuu hii kitu hainaga ukimya......hivi nani aliye mtumia huyu jama yetu hiyo picha,na bi vanne anasemaje kuhusu uhamiaji huu?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umetisha sana.
 
Usiamini kila unalosikia mengine ni fununu zisizo na ukweli.
Maana kila mtu hapa mjini ukiuliza habari zake utaskia shoga ama msagaji ama anauza unga ama anatumia unga.
Sure
 
Lakin kapo ya vee na trey songs inaendana juma jux na vee mmmhh nah nah nah jux sio handsome hata kdg anabebwa na body structure ,pozi,na outfits bsii labda na hela kama anazo (am nt sure) na fame basiii hakuna kingine
yeah ni kweli kabisa vanessa na trey ...i ship that.wanaendana mpaka co vizuri yaan, sema trey mzuri sana aisee nessa ataish roho juu abaki tu na jux hamna atakayemnyang'anya teh.
 
Makubwaaaaa!
Inakuwaje mwanaume anakuwa ni mwenye bahati kwa kutoka na lesbo?
Dadavua Mkuu...
mwanaume akiwa na lesbo manake anakuwa na two girlfriendz so that means 3some za kutosha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…