Hali inapokuwa tete.

Hali inapokuwa tete.

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,656
Inapobidi.
attachment.php
 
hayo ndo maisha bora kwa kila mtz, uyo ni mtu mzima alitakiwa awe na familia yake na watoto na heshima za kutosha, ona sasa maisha yanamfanya anakuwa hivyo...sijui nani atawakomboa watz katika hali kama hii.
 
Wabongo siku hizi wakikamata kibaka wanachinja tu!!
 
Ama kweli maisha matamu. Yaelekea huyo kibaka pamoja na option ya kukwapua mali za watu ili kujiendeshea maisha lakini yuko makini mambo yanapokataa!!! hapo ana uhakika sana wa kujiokoa.😛ound:
 
Back
Top Bottom