Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Hii imetamalaki sehemu nyingi sana nchiniHali inatisha
Aisee
Hii ni Tanzania au ni kwa majirani Kenya?
Kuna siku tulimkuta boda amewapakiza watoto wanne mishkaki na watoto wenyewe ni wadogo kwa makadirio ni watoto wa 5-6 yrs, kwa kweli tulimsimamisha tukamzuia kuondoka, watu wakajaa ikabidi awapigie wazazi wa hao watotoHii imetamalaki sehemu nyingi sana nchini
BongoHii ni Tanzania au ni kwa majirani Kenya?
Hatari sanaBongo
Ipo sana hii uswahiliniHatari sana
Hatari sanaKuna siku tulimkuta boda amewapakiza watoto wanne mishkaki na watoto wenyewe ni wadogo kwa makadirio ni watoto wa 5-6 yrs, kwa kweli tulimsimamisha tukamzuia kuondoka, watu wakajaa ikabidi awapigie wazazi wa hao watoto
HaaaahaaaTafuta za India uone. Hio chamtoto
nini hicho ?Ipo sana hii uswahilini
Bongohuko ni copenam au ni hapa bongo?
Madogo wanapandishwa mishikaki asubuhi wanapelekwa shule, jamaa wanawabananisha hadi huruma alafu wadogo tu sio Barabara kubwa ni huku Barabara za mtaaninini hicho ?
dream queen hajambo ?Madogo wanapandishwa mishikaki asubuhi wanapelekwa shule, jamaa wanawabananisha hadi huruma alafu wadogo tu sio Barabara kubwa ni huku Barabara za mtaani
Dream Queen haujambo mamilo?dream queen hajambo ?
Ni mzazi mpumbavu tu anaeweza kuruhusu huu ujinga. Hata kumpakia mtoto kwenye toyo hata kama ni mwenyewe huo ujinga siwezi kuufanya.Kuna siku tulimkuta boda amewapakiza watoto wanne mishkaki na watoto wenyewe ni wadogo kwa makadirio ni watoto wa 5-6 yrs, kwa kweli tulimsimamisha tukamzuia kuondoka, watu wakajaa ikabidi awapigie wazazi wa hao watoto
nakufananisha ya yule mutant wa X-Men, nilikuambia eehDream Queen haujambo mamilo?