Nakumbuka mkuu yes yes yes,nakufananisha ya yule mutant wa X-Men, nilikuambia eeh
SadKuna siku tulimkuta boda amewapakiza watoto wanne mishkaki na watoto wenyewe ni wadogo kwa makadirio ni watoto wa 5-6 yrs, kwa kweli tulimsimamisha tukamzuia kuondoka, watu wakajaa ikabidi awapigie wazazi wa hao watoto
Sad indeed
Bongo
Bongo
Hii ni Tanzania au ni kwa majirani Kenya?
Unamuuliza yeye ndo nalala nae?dream queen hajambo ?
HovyoooooooooDream Queen haujambo mamilo?
Ndio Hovyoooooooo sema hovyoHovyooooooooo