Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi najifanya sijui kitu, nambusu mke wangu. thena natoa moto naanza kuusafisha taratibu huku nikimwambia my wife wangu kuwa mbona hunikumbushagi kusafisha hii bastola? then naiload kabisa...huku napiga mluzi tanzania, tanzaniaaa nakupenda kwa moyo woteee!!!!
mi najifanya sijui kitu, nambusu mke wangu. thena natoa moto naanza kuusafisha taratibu huku nikimwambia my wife wangu kuwa mbona hunikumbushagi kusafisha hii bastola? then naiload kabisa...huku napiga mluzi tanzania, tanzaniaaa nakupenda kwa moyo woteee!!!!
I like this..Unajifanya kama vile umedata. Unachukua jembe then unachimba hivyo vidole vilivyotokeza chini ya pazia unadai kuwa ni uyoga umeota chumbani kimakosa..Then unasikilizia timbwilitimbwili lake!!