Hali kama hii unaweza kumkubalia mkeo awe muigizaji?

Kwa watu waliosomea kazi zao (taaluma ya uigizaji) waweza kufumba macho lakini bahati mbaya ma supastaa wengi wa bongo hasa wanawake ambao wengi huibukia kutoka kwenye fani ya urembo kujiita una mke hapo ni sawa na kuamua kuishi na jolystic yeyote na hii ni kwa risk yako mwenyewe, hakuna mke hapo. Utasaidiwa tu utake usitake kisingizio "tunaigiza naye" kumbe.......!! Akili kichwani mwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…