Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Katika kile kinachoonyesha maji yamewafika shingoni Clouds media wametoa kauli nzito kupitia kwenye page ya Shilawadu(hapa nadhani wameamua kuficha aibu kwa kupost bandiko kwenye akaunti ya shilawadu badala ya akaunti official za cloudsfm au tv).
wanadai ni vyema media\matamasha yasimame yenyewe bila kutengeneza uhasama na wao kwani kila.mmoja anaweza kufanya mambo yake na akapata pesa bila kutengenezeana chuki.
Swali:Je nani kati ya Clouds na media nyingine au wasanii nani ni kinara wa kutengeneza migogoro?
wanadai ni vyema media\matamasha yasimame yenyewe bila kutengeneza uhasama na wao kwani kila.mmoja anaweza kufanya mambo yake na akapata pesa bila kutengenezeana chuki.
Swali:Je nani kati ya Clouds na media nyingine au wasanii nani ni kinara wa kutengeneza migogoro?