Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Umesahau #mkubwakasema kipindi kile Ruge alivyopiga marufuku nyimbo za Jide, Umesahau Jide anazindua album yake nao siku ya tarehe hiyo wakapanga event ya mwana FA ili wazuie wasanii wasiende kwenye uzinduzi wa Jide, Umesahau CMG walichomfanyia Majizo kupanga tarehe moja, mkoa mmoja siku ya pili Gerrard Hando, Kibonde na Adam mchomvu wakawa wanamponda kimafumbo Majizo, CMG ni waswahili tena waswahili haswa na fitina wanazijua, sema sasa hivi wamekutana na mswahili mwenzao na ndio maana waswahili wanasema usipende kuwafanyia wenzio kile usichokipenda kufanyiwa ww.Clouds hawana uswahili. Wapo kimya mtaona tu mambo yanavyonyooka. Ruge is genius hasemi,hajibu wala koment. Kimya kimya matokeo ndy hujbu
una habari kwamba Ruge yuko kwenye machine ya kusapoti pumzi?Clouds hawana uswahili. Wapo kimya mtaona tu mambo yanavyonyooka. Ruge is genius hasemi,hajibu wala koment. Kimya kimya matokeo ndy hujbu
Hiyo inajulikana. Hata akiwaga mzima. Ushagawahi ona anajibu chochote? Kwanza hana account hata moja kwenye social net.una habari kwamba Ruge yuko kwenye machine ya kusapoti pumzi?
Wakati ukuta... Wakati si milele... Hata umri una kikomo... Umri sio miaka. !Katika kile kinachoonyesha maji yamewafika shingoni Clouds media wametoa kauli nzito kupitia kwenye page ya Shilawadu(hapa nadhani wameamua kuficha aibu kwa kupost bandiko kwenye akaunti ya shilawadu badala ya akaunti official za cloudsfm au tv).
wanadai ni vyema media\matamasha yasimame yenyewe bila kutengeneza uhasama na wao kwani kila.mmoja anaweza kufanya mambo yake na akapata pesa bila kutengenezeana chuki.
Swali:Je nani kati ya Clouds na media nyingine au wasanii nani ni kinara wa kutengeneza migogoro?View attachment 943057
Mjomba huu mchezo usiuchezee kabisaaaaaaaKatika kile kinachoonyesha maji yamewafika shingoni Clouds media wametoa kauli nzito kupitia kwenye page ya Shilawadu(hapa nadhani wameamua kuficha aibu kwa kupost bandiko kwenye akaunti ya shilawadu badala ya akaunti official za cloudsfm au tv).
wanadai ni vyema media\matamasha yasimame yenyewe bila kutengeneza uhasama na wao kwani kila.mmoja anaweza kufanya mambo yake na akapata pesa bila kutengenezeana chuki.
Swali:Je nani kati ya Clouds na media nyingine au wasanii nani ni kinara wa kutengeneza migogoro?View attachment 943057
Ruge kalazwa South weweee acha umbeya kama umetumwa umsemeeClouds hawana uswahili. Wapo kimya mtaona tu mambo yanavyonyooka. Ruge is genius hasemi,hajibu wala koment. Kimya kimya matokeo ndy hujbu
Leo hii mwenzenu kapewa msaada wa dollar 20,000 huenda zitatumika huko fiestaWalikuja Efm hivi-hivi na kelele nyingi baadaye wakapotea.
Clouds Madia ni Giant na siku zote Giant hawezi kudondoshwa kwa makelele ya Konyagi za Konki Master.
Miaka mitano, yakwako tusubiri miaka mingapi ???Kila media inayokuja inataka kujipima ubavu na clouds, clouds wamezoea kuupisha upepo baada ya muda ndio tunajua clouds still ni giants wa burudani hapa bongo, kuishusha clouds sio kelele hizi za mtandaoni bali ni kuandaa content zilizoshiba ili kuipoteza “power breakfast, leo tena, XXL, Jahazi, Amplifaya, Sports Extra na Hara za roho. Yaani media ambayo ukiambiwa umtaje presenter mkubwa unajibiwa jonijo ndio ushindanishe na clouds[emoji15][emoji15]?
Wasafi wanahitaji miaka zaidi ya mitano ili kuandaa content ya kufanya watu wasifungulie 88.5 asubuhi kusikiza power breakfast.
Nb; Hivi mnashindanisha vipi show innayopigwa mtwara na inayopigwa dar? Mi naona hizi ni stratergies za ku gain popurality na wefanikiwa kwa asilimia zote
Clouds hawana uswahili. Wapo kimya mtaona tu mambo yanavyonyooka. Ruge is genius hasemi,hajibu wala koment. Kimya kimya matokeo ndy hujbu