Hali mbaya ya biashari hapa nchini

Hali mbaya ya biashari hapa nchini

mansoorsaid

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2014
Posts
1,498
Reaction score
286
siku mbili zilizopita tulikuwa tunaulizana mbona biashara yetu ya mazao imekuwa ngumu hainunuliwi bei mbovu wenye maduka nao wanalia ukienda sokoni nayo wanalia hela imekuwa ngumu .
tukaulizana hivi watu hawahitaji mahitaji akatokea ustadhi mmoja akasema wale wakina mselem wale mashekhe wakubwa sana wanabakwa serkali haifanyi uchunguzi wapo tu gerrzani mpaka watakapo toka mambo yatakuwa mazuri nilicheka sana je hivyo ni kweli au ndio uchumi wetu unapanda
 
Rushwa, uzinzi, wizi, dhulma, utapeli, mauwaji ya kikatili, uongo, yote hayo yanachangia katika kuondoa neema katika nchi tukubali hilo
 
Hali ni mbaya. Watu hawaongelei hilo. Siasa zinetawala.
 
Hali ni mbaya. Watu hawaongelei hilo. Siasa zinetawala.

Hata hii hoja ya Mdau nayo ni Siasa.
Kuna uhusiano gani wa watu kuliwa kiboga Gerezani na Uchumi kuanguka?
 
neema ni nini? kuna jinsi ya kuprove kwa kuna neema au hakuna. hawa ma ostaz me nawajua hawana mpangilio wanapokuwa wanatoa hoja au ufafanuzi fulani, alichokuwa anatakiwa kjubu ni sababu zipi zinapelekea uchumi kushuka, sio kutoa maelezo ya gerezani, dhambi, wala ubakaji. sidhani kama kuna uhusiano wa matendo mabaya ya jela na uchumi kwa upeo mdogo nilionao ndiyo tu kwa leo
 
Back
Top Bottom