Hali ngumu ya kiuchumi ya wazazi imewafanya wasiwe na sauti kwa watoto wao

Hali ngumu ya kiuchumi ya wazazi imewafanya wasiwe na sauti kwa watoto wao

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Wazazi wengi wa sasa ni wale waliosomesha watoto kishidashida mpaka wakafika walipofika. kwasasa watoto ndio wanawasaidia huko kijijini waliko au wengine wanaishi nao kabisa.

kutokana na sababu hizo, wazazi sasa hawana sauti ya kuwakemea watoto wao, wapo wanaofahamu kua watoto wao wanafanya kazi zisizo njema kimaadili au kisheria ya nchi, lakini hawana namna kwakua ndio wanawasaidia.

Jambo hili limewafanya wazazi

1. Kulegalega kimaamuzi
2. Kufanya maamuzi yenye upendeleo
3. Kuficha au kufumbia maovu


Ni wazazi wachache sana wenye uwezo wa kuwa wakali kwatabia mbaya za watoto hata kama wana uchumi mbovu.

Kwa mfano, kuna watu wanajisemea" hawa wadada wanaojiuza hivi hawana wazazi", jibu ni wengi wanao na ndio wanategemea kutoka kwa huyo dada.

Ni hayo tu nilioyaona.
 
Wazazi wengi wa sasa ni wale waliosomesha watoto kishidashida mpka wakafika walipofika. kwasasa watoto ndio wanawasaidia huko kijijini waliko au wengine wanaishi nao kabisa.

kutokana na saabu hizo, wazazi sasa hawana sauti ya kuwakemea watoto wao, wapo wanaofahamu kua watoto wao wanafanya kazi zisizo njema kimaadili au kisheria ya nchi, lakini hawana namna kwakua ndio wanawasaidia.

jambo hili limewafanya wazazi
1. kulegalega kimaamuzi
2. kufanya maamuzi yenye upendeleo
3. kuficha au kufumbia maovu

ni wazazi wachache sana wenye uwezo wa kuwa wakali kwatabia mbaya za watoto hata kama wana uchumi mbovu.

kwa mfano, kuna watu wanajisemea" hawa wadada wanaojiuza hivi hawana wazazi", jibu ni wengi wanao na ndio wanategemea kutoka kwa huyo dada.

ni hayo tu nilioyaona.
IMG-20240823-WA0034.jpg
Wazazi wenyewe ndio hawa?
 
Na suala pia la wazazi wa Kaskazini kuwashawishi vijana wao kuhakikisha wanafanikiwa kwa namna yoyote ile. Wanawasisitiza wafanikiwe kama fulani aliyefanya hiki na kile, kajenga kanunua gari basi unalinganishwa naye tu.

"Jiongeze mbona mwenzako fulani alikuja na gari n amejenga, na nyote mnaishi Dar mnakanyaga udongo mmoja, we kalia hapo unasema maisha magumu babaangu"

Sasa hao vijana wao ghafla wakipata hela, kamwe hawawezi wauliza wamefanikiwaje.
 
Na suala pia la wazazi wa Kaskazini kuwashawishi vijana wao kuhakikisha wanafanikiwa kwa namna yoyote ile. Wanawasisitiza wafanikiwe kama fulani aliyefanya hiki na kile, kajenga kanunua gari basi unalinganishwa naye tu.

"Jiongeze mbona mwenzako fulani alikuja na gari n amejenga, na nyote mnaishi Dar mnakanyaga udongo mmoja, we kalia hapo unasema maisha magumu babaangu"

Sasa hao vijana wao ghafla wakipata hela, kamwe hawawezi wauliza wamefanikiwaje.
Mkuu umesahau kuwa wakienda wakarudi wako vizuri na wamefakiwa kimaisha basi wazee huanza kuwaamkia kwa Shikamoo Mwanangu, na hakuna maamuzi ya kifamilia yatachukuliwa kama Mwamba hajafika hata kama ni last born.
 
Wazazi wengi wa sasa ni wale waliosomesha watoto kishidashida mpaka wakafika walipofika. kwasasa watoto ndio wanawasaidia huko kijijini waliko au wengine wanaishi nao kabisa.

kutokana na sababu hizo, wazazi sasa hawana sauti ya kuwakemea watoto wao, wapo wanaofahamu kua watoto wao wanafanya kazi zisizo njema kimaadili au kisheria ya nchi, lakini hawana namna kwakua ndio wanawasaidia.

Jambo hili limewafanya wazazi

1. Kulegalega kimaamuzi
2. Kufanya maamuzi yenye upendeleo
3. Kuficha au kufumbia maovu


Ni wazazi wachache sana wenye uwezo wa kuwa wakali kwatabia mbaya za watoto hata kama wana uchumi mbovu.

Kwa mfano, kuna watu wanajisemea" hawa wadada wanaojiuza hivi hawana wazazi", jibu ni wengi wanao na ndio wanategemea kutoka kwa huyo dada.

Ni hayo tu nilioyaona.
Kuna jamaa alikuwa muuza unga huko S A na anawatumia wazazi vibunda; kwa sasa kwa wazazi kumefubaa sana; nilpouliza nikaambiwa kibopa wa familia walimminia risasi huko kwa Mandela; wazazi wanapewa Tu taarifa na jamaa walioko huko.
 
Hili lipo sana halafu wazazi husika wanaishia kukanya watoto wa ndg zao😅😅ni vichekesho
 
Back
Top Bottom