Mmeangalia mishahara na posho wanazolipwa watumishi wa vyombo vya DOLA? Ndugu zetu hawa wamepewa mishahara na posho nzuri sana kipindi hiki kama alivyofanyiwa Rooney wa ManU! Sasa hivi JWTZ, UwT, Police, Magereza na JKT hakuna anayepokea "take home" chini ya laki sita kwa mwezi. Wao sasa hivi wanajipanga kuhakikisha JK anaendelea kuwa Rais wa JMT kwa namna yoyote ile. Kama mliwaona jana akina IGP, DCP Kova, DCP Tossi ni muendelezo wa yale alioyatamka Lt Gen Shimbo.
Dr Slaa ni tishio sio tu kwa WANASIASA wetu bali hata wakuu vyombo vya dola, Taasisi za serikali, Mashirika ya UMMA na walafi wengi tu wa nchi hii. Hakuna mwanya utakaoachwa awe RAIS na hasa baada kuonyesha wazi hatua anazotaka kuchukua dhidi yao.