Hali ngumu ya maisha, Wakenya waanza kulia hadharani

Hali ngumu ya maisha, Wakenya waanza kulia hadharani

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

MY TAKE; Kuna wale vijana walioamua kuanza kula mbwa na paka baada ya kukosa chakula, huyu dada ameamua kulia ndani ya "Super market" baada ya kushitushwa na ungezeko kubwa la Bei ya unga na Hana pesa, viongozi wapo busy na uchaguzi, hii Hali itaendelea kuwa mbaya kutokana na Kenya kupuuza kilimo cha chakula na kuthamini chai na maua
Tony254
dyfre
Don YF
Nicxie

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

MY TAKE; Kuna wale vijana walioamua kuanza kula mbwa na paka baada ya kukosa chakula, huyu dada ameamua kulia ndani ya "Super market" baada ya kushitushwa na ungezeko kubwa la Bei ya unga na Hana pesa, viongozi wapo busy na uchaguzi, hii Hali itaendelea kuwa mbaya kutokana na Kenya kupuuza kilimo cha chakula na kuthamini chai na maua
Tony254
dyfre
Don YF
Nicxie

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Huyu dada ana pesa nyingi sana. Anazunguka Afrika nzima akihoji watu. Tazama video zake za awali utaona. Na uwache kuropokwa kwamba huyu dada hana pesa. Huyu dada anapanda ndege kila wakati.
 

MY TAKE; Kuna wale vijana walioamua kuanza kula mbwa na paka baada ya kukosa chakula, huyu dada ameamua kulia ndani ya "Super market" baada ya kushitushwa na ungezeko kubwa la Bei ya unga na Hana pesa, viongozi wapo busy na uchaguzi, hii Hali itaendelea kuwa mbaya kutokana na Kenya kupuuza kilimo cha chakula na kuthamini chai na maua
Tony254
dyfre
Don YF
Nicxie

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Skewed interpretation, pambana na your inferiority complex.,
 
Huyu dada ana pesa nyingi sana. Anazunguka Afrika nzima akihoji watu. Tazama video zake za awali utaona. Na uwache kuropokwa kwamba huyu dada hana pesa. Huyu dada anapanda ndege kila wakati.
Hahahaha, huyu dada yeye ndiye aliyeweka video kuonyesha huyo dada hapo "supermarket" akilia kwa uchungu baada ya kuona bei za bidhaa zimeongezeka mara mbili na hawezi kumudu, sio yeye mwenyewe.

Kuhusu huyu dada, yeye kazi yake ni hiyo ya kuzunguka Kama miss Trudy Marwa na dada yake huko Kenya na vloggers wengi tu wanaotegemea kulipya kutokana na kupata viewers wengi, Sasa hizo pesa nyingi amezitoa wapi?, au umedanganyika na lile shamba aliloweka na kusema ni "Multimillion farm?".

Kawaida ninyi wakenya ni watu wa kupenda sifa Sana, kitu kidogo mkipata mnakikuza ili watu wajue mpo na pesa nyingi. Sijawahi kuona mtanzania yeyote anayepost vitu anavyomiliki na kutaja thamani yake.

Ngoja nikuulize, hivi huyo dada anaweza kumfikia hata Nandy kwa idadi ya viewers au Mboso?, kumbuka hao niliowataja pesa wanayopata toka kwenye YouTube views ni "net profit", ila kwa huyo dada hiyo ndio primary kazi yake, lazima hiyo pesa atoe matumizi yake ya kusafiri ili akahoji watu azidi kupata viewers wengi zaidi, yeye ni hustler wa kawaida, Hana pesa nyingi Kama unavyotaka kumsifia, asipo safiri atapataje pesa?,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Average salary kwa Kenya almost 1000usd,Tanzania........,nchi zinazoongoza hapa Africa ni pamoja na Morroco, SA,Botswana, Kenya ..,Uganda nayo imo on top 10
 
Huyu dada ana pesa nyingi sana. Anazunguka Afrika nzima akihoji watu. Tazama video zake za awali utaona. Na uwache kuropokwa kwamba huyu dada hana pesa. Huyu dada anapanda ndege kila wakati.
Hata kama ana hela lakini ana portray the reality on the ground. Most people are affected by the ongoing economic hardship hence kuwa na hela does not necessarily mean huwezi kuelezea the plight of the poor kenyans.
 
Average salary kwa Kenya almost 1000usd,Tanzania........,nchi zinazoongoza hapa Africa ni pamoja na Morroco, SA,Botswana, Kenya ..,Uganda nayo imo on top 10
Have you forgotten a research report which showed that employed Kenyans who receive salary of above $1000 per month are less than 9000?.

By the way, how many Kenyans are employed, what about 95% of Kenyans who don't receive salaries?, Why are you then cry openly and loudly in public places like supermarkets?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Have you forgotten a research report which showed that employed Kenyans who receive salary of above $1000 per month are less than 9000?.

By the way, how many Kenyans are employed, what about 95% of Kenyans who don't receive salaries?, Why are you then cry openly and loudly in public places like supermarkets?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
If you will sends me the source of your research nitashukuru sana bcs will help us to discuss this topic with facts, tusijadili mchangiaji maana ndio mawazo yake, trying to shut down someone opinions ni umasikini wa kiakili, let's talk mkuu
 
Back
Top Bottom