Hali ni mbaya Chuo cha Sokoine.

Wustenfuchs

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
313
Reaction score
167
Hali ya maisha ya wanfunzi wa SUA ipo matatani.

Hii inatokana na kucheleweshwa kwa pesa zao za kujikimu kutoka loan board. Ni kama wiki ya tatu sasa imepita tangu tarehe rasmi ambapo pesa hiyo inatakiwa kutolewa. Baadhi ya wanafunzi wametishia mgomo kwa kutokuingia madarasani. Lini pesa itapatikana is still a mystery!

Hali inazidi kuwa ngumu kila kukicha.
 
mpaka mnyooke............nendeni mkakope PECAM c ndivyo mlivyoshauriwa
 
ucjal kuna mzabuni anaitwa pecam anapokea vyet vya 4m 4 kama dhaman unakula mpka unasaza so wahi mana unaweza pata tshirt kubwa nafas nichache ivo yan
 
ucjal kuna mzabuni anaitwa pecam anapokea vyet vya 4m 4 kama dhaman unakula mpka unasaza so wahi mana unaweza pata tshirt kubwa nafas nichache ivo yan

mkuu huu ni udhalilishaji kabisa
 
Kama huna cha kuchangia bora kukaa kimya sio kuleta kejeli kwa mambo ya msingi kama haya. Kama umejaaliwa kuwa na ajira na maisha mazuri si busara kukejeli wenzio. Poleni sana wana chuo wa SUA serikali ni sikivu itawapa pesa yenu. Japo mmesota kweli jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…