HALI NI MBAYA SANA TURKANA, KENYA MSAADA UNAHITAJIKA

HALI NI MBAYA SANA TURKANA, KENYA MSAADA UNAHITAJIKA

kidudula

Senior Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
130
Reaction score
107
Nilikua napitia video katika mtandao wa 'YouTube'
Nikaingia kwenye Channel ya 'SimuliziNaSauti'
Nilikutana na video ya kusikitisha sana, Raia wa Turkana wanakufa na njaa.
Serikali ya Kenya angalieni namna ya kuwasaidia hawa Wananchi wenu.
'Link' ya video hii hapa chini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua napitia video katika mtandao wa 'YouTube'
Nikaingia kwenye Channel ya 'SimuliziNaSauti'
Nilikutana na video ya kusikitisha sana, Raia wa Turkana wanakufa na njaa.
Serikali ya Kenya angalieni namna ya kuwasaidia hawa Wananchi wenu.
'Link' ya video hii hapa chini


Sent using Jamii Forums mobile app


Bro acha kuzionesha hizo picha. Dunia nzima inaelewa kuwa Kenya ina njaa.
Achana na wale wanaobisha.
 
Tuombe lakini hali ni mbaya hata kwa Tanzania mvua hamna mashamba yanakauka.
 
Back
Top Bottom