Dar-ubungo wabebwa kwenye magari ya takataka wasimamizi wa uchanguzi posho hazijatoka wasimamizi wa jimbo la ubungo walalamika kwenye ITV hawajalipwa posho mtafaruku mkubwa walibebwa kwenye Gari la Taka WaMENGOME MATOKEO MAMBO SI SHWARI.
Kwani ni nani anayehusika na malipo yao? Ama wanataka kusubiri serikali mpya ije kuwalipa malipo yao.... Slaa unayo kazi baada ya kuapishwa maana JMK amekomba kila eneo. chukua chako mapema na seeeeppaaa