Hali ni tete, vyuma vimekaza

MWALLA

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2006
Posts
16,952
Reaction score
10,500
Mkuu MAGU hali ni tete nilikuwa natafuta ni mbinu gani ya kulainisha hivi vyuma vilivo kaza mkuu umesaidia sana kutujuza tutumie GILISI... sasa Mkuu MAGU vyuma vyangu vimekaza mnoooo naomba ile dawa ya kilainishi nivilegeze..πŸ˜΅πŸ™„

cc: Tetty
cc: jingalao
cc: Ruttashobolwa
cc: stroke
 
Magu amekwambia weka grisi ili vilainike......

Lakini jinsi unavyochelewa kuweka grisi ili uvilainishe, ndivyo utakavyoweza kusababisha "engine" INOKI!
 

Vilainishi vimepigwa Marufuku kuagizwa na serikali aka Wizara ya Afya😳😳😳😳😑😑😑😑
 
Magu amekwambia weka grisi ili vilainike......

Lakini jinsi unavyochelewa kuweka grisi ili uvilainishe, ndivyo utakavyoweza kusababisha "engine" INOKI!
shida iko palepale hiyo gilisi unaipatajepataje... GILISI inapatikanaje... kama anagawa bule aseme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…