kwanza akitajiwa Slaa huyo anakuja anaweza kuanguka na kuzimia
kwanza akitajiwa Slaa huyo anakuja anaweza kuanguka na kuzimia
Kuna mtaalam wake mmoja wa afya ananiambia kuwa jamaa hooooi mno.
nilipita last month nimekuta kuna ambulance mbili pale ikulu.
Tutegemee lolote ndani ya siku mbili hizi kuhusu afya yake
Kuna mtaalam wake mmoja wa afya ananiambia kuwa jamaa hooooi mno.
nilipita last month nimekuta kuna ambulance mbili pale ikulu.
Tutegemee lolote ndani ya siku mbili hizi kuhusu afya yake
kwanza akitajiwa Slaa huyo anakuja anaweza kuanguka na kuzimia
kwanza akitajiwa Slaa huyo anakuja anaweza kuanguka na kuzimia
kwanza akitajiwa Slaa huyo anakuja anaweza kuanguka na kuzimia
Chama Chetu kimeshikwa pabaya sana mwaka huu, huwezi amini kama Kikwete na Kamati kuu ya Chama Jana walikaa 2 hours wakimsikiliza Dr. Slaa Live. Rafiki yangu wa ndani sana kwenye system ananieleza huko hakulaliki sababu kuu ni kwamba chochote ambacho CCM wanazusha hata kama cha kweli ajabu watanzania wana ignore na chochote hata kama cha uwongo ccm wakisingiziwa wananchi wanaamini. Hii imemlazimu Kikwete kurudi mwanza hali ni tete...
Ajabu ni kwamba Kikwete hana ujasiri wa kutaja jina la Slaa kwa maana ya "authority" kama ambavyo slaa anamtaja kwenye EPA na kwingineko.
Ninaamini mwaka huu mambo yamegeuka
Hii sasa ni zaidi, siyo kweli kuwa Kikwete anamwogopa Slaa namna hiyo.
Kumbuka kuwa Kikwete alikuwa ama ni kanali au luteni kanali wa jeshi la wanachi. Kwa position hiyo, alikuwa ni Battalion Commander anayeweza kuongoza battalion nzima kwenye mapambano ya kivita. Mtu wa namna hiyo hawezi kuwa legege wa kuogopa mtu mmja tu mpaka afikiea kuzimia
Ndugu zangu, kama nilivyosema katika uzi mmoja ambao wenye mtungo wameunganisha, njama za kuiba kura kuhakikisha kuwa Kikwete anashinda ni za kweli. Ni vema mikakati ya kupambana na njama hizi ikafanywa mbali ya kupiga na kulinda kura. Jaji Makame anaendelea na cheo chake kwa mpango maalumu wa kumbeba Kikwete na atafanya yale ya Kivuitu yule wa Kenya. Chonde msilipuuzie hili.