Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepata taarifa kidogo tu kuwa kuna kijana walikuwa wanadaina na mmama fulani,sasa huyo mama akatumia nguvu ya pesa jamaha akawekwa ndani kituo cha polisi nyandeo polisi katika kumuojioji huku wanampiga jamaa amefariki,polisi wanatoa taarifa kuwa jamaa amejinyonga ndo waanachi wakasema mtu awezi kujinyonga akiwa kituoni polisi watakuwa mawemuua wenyewe kwa hiyo wamefunga barabara kubwa ya ifakara-mikumi wakiwaitaji mbunge,diwan na mkuu wa wilaya eneo la tukio
Hilo tukio linafanana na la mama mmoja alifia kituo cha polisi arusha mjini polisi wakasema eti kajinyongaduuuh kituo cha polisi amejinyongaje wakati kabla haujaingia unachojolewa vitu vyote
Ndio polisi waliovimbishwa vichwa hawa.Nimepata taarifa kidogo tu kuwa kuna kijana walikuwa wanadaina na mmama fulani,sasa huyo mama akatumia nguvu ya pesa jamaha akawekwa ndani kituo cha polisi nyandeo polisi katika kumuojioji huku wanampiga jamaa amefariki,polisi wanatoa taarifa kuwa jamaa amejinyonga ndo waanachi wakasema mtu awezi kujinyonga akiwa kituoni polisi watakuwa mawemuua wenyewe kwa hiyo wamefunga barabara kubwa ya ifakara-mikumi wakiwaitaji mbunge,diwan na mkuu wa wilaya eneo la tukio
Hata makonda nae alisema piga tu..sasa unadhani wao watamtii nani kama sio bosi wao.nikipigo tu hata ukisogelea kituohahahahah!!! polisi hawa wanakatisha ndoto za wengi kwa mambo ya kutumia busara tu wao ni virungu tu.
huyo mama nae ajiandae kuishi kimashaka.