Hali si shwari Mabibo Hostel - UDSM

hahaha! Waanze tu na vipedo vyao na makeup usoni washike ufyagio wa chooni pyaaa ! Pyaaa!! Ni balaaa!

Ha ha ha haa ufyagio eeh, umenikumbusha mbali Munkari hako kaneno hako (ufyagio)
 
Last edited by a moderator:
muende kunya uwanjani kule. kama maji yapo mnashndwa kufanya usafi. tena mnabebana kweli hapo watu 8.
 
pole zenu kwa nini msijisafishie wenyewe mbona sec mlikuwa mnajisafishia..
 
hahaha! Waanze tu na vipedo vyao na makeup usoni washike ufyagio wa chooni pyaaa ! Pyaaa!! Ni balaaa!

Hahaha!! mbona wataugua mapema kabla maradhi yenyewe hayajalipuka !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…