Hali tete kwa rafiki yangu

Hali tete kwa rafiki yangu

Ubavu

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
2,790
Reaction score
3,263
Habari za usiku huu wakuu. Hopeful wengi wetu siku ya leo ilienda poa. Baada ya formalities naomba niende kwenye mada husika.
Kama kichwa kinavyosema, rafiki yangu hali ni tete katika mahusiano yake. Shida kubwa inayomsumbua ni kushindwa kugegeda kwani mjegejo wake kwa siku za hivi karibuni umekuwa ukimsumbua sana.
Shida inakuja ni kwamba wakiwa katika majambozi mjegejo unalegea kabisa na kushindwa hata kuingia kichwa tu!. Anasema wanapoanza foreplays (romance) mjegejo huwa unasimama vizur tu, hali hiyo huendelea mpaka pale tu linapokuja swala la kumalizia kazi ndipo mauzauza hayo yanamtokea.
Jamaa anasema hajawahi kugegeda hata siku moja. Na kwa issue ya mjegejo kusimama jamaa anasema kwamba hakuna shida yoyote kwa maana hapo nyuma alishawahi kuwa mwanachama wa CHAPUTA na alikuwa anafika mshindo bila ya shida yoyote.
Hali hii imeshamtokea kama mara tatu hivi. Mara ya kwanza alidhani ni mfadhaiko tu wa kawaida and so alichukulia kawaida but kwasasa jamaa ameshaanza kutokujiamini. Jamaa amevuka mid 20s na kiafya (physically) yupo vizur kabisa ila shida ipo hapo tu.
Ushauri wangu nmemwambia asiliendee tendo hilo kwasasa mpaka atakapopata ufumbuzi kwan kama akiliendea halafu akashindwa basi kuna uwezekano akazidi kuathirika kisaikolojia.
Nimelileta swala hili hapa ili kama kuna member anayejua dawa ya hii kitu tumsaidie ndugu yangu huyu maana amenyong'onyea kabisa..! Nakaribisha mawazo yenu. Kejeli hapa janvini zimezoeleka so unaweza kuziweka pia maana ni kawaida humu.

Ubavu!
image.jpeg
 
Hata ivo sio muhim mwambie kama ilo limeshindikn aachane nalo aendelee na issue nyingin kuna vingi tu vya kufanya kwenye hili life.
 
Mwambie afanye yafuatayi.
1.Aache punyeto moja kwa moja ,yaan sio anaacha Leo keshokutwa anarudia noo.
2.Afanye mazoezi ya mwili walau kila Siku.
3.Ale mlo kamili wenye matunda muhimu ktk tendo LA ndoa,mfano ndizi mbivu,tikitimaji,.n.k.
4.amueleze moenz wake bila kumficha ,hali hii itasaidia kuondoa aibu na fedheha na pia humpa nafas mwenza wake kumsaidia ktk kutafuta tatizo.
5. Apunguze msongo wa mawazo .
6 .Yote yakifeli bhc aende kwa daktari
 
Habari za usiku huu wakuu. Hopeful wengi wetu siku ya leo ilienda poa. Baada ya formalities naomba niende kwenye mada husika.
Kama kichwa kinavyosema, rafiki yangu hali ni tete katika mahusiano yake. Shida kubwa inayomsumbua ni kushindwa kugegeda kwani mjegejo wake kwa siku za hivi karibuni umekuwa ukimsumbua sana.
Shida inakuja ni kwamba wakiwa katika majambozi mjegejo unalegea kabisa na kushindwa hata kuingia kichwa tu!. Anasema wanapoanza foreplays (romance) mjegejo huwa unasimama vizur tu, hali hiyo huendelea mpaka pale tu linapokuja swala la kumalizia kazi ndipo mauzauza hayo yanamtokea.
Jamaa anasema hajawahi kugegeda hata siku moja. Na kwa issue ya mjegejo kusimama jamaa anasema kwamba hakuna shida yoyote kwa maana hapo nyuma alishawahi kuwa mwanachama wa CHAPUTA na alikuwa anafika mshindo bila ya shida yoyote.
Hali hii imeshamtokea kama mara tatu hivi. Mara ya kwanza alidhani ni mfadhaiko tu wa kawaida and so alichukulia kawaida but kwasasa jamaa ameshaanza kutokujiamini. Jamaa amevuka mid 20s na kiafya (physically) yupo vizur kabisa ila shida ipo hapo tu.
Ushauri wangu nmemwambia asiliendee tendo hilo kwasasa mpaka atakapopata ufumbuzi kwan kama akiliendea halafu akashindwa basi kuna uwezekano akazidi kuathirika kisaikolojia.
Nimelileta swala hili hapa ili kama kuna member anayejua dawa ya hii kitu tumsaidie ndugu yangu huyu maana amenyong'onyea kabisa..! Nakaribisha mawazo yenu. Kejeli hapa janvini zimezoeleka so unaweza kuziweka pia maana ni kawaida humu.

Ubavu!View attachment 925270
Kitambi kitambi
 
Aache punyeto mara moja; aanze kubadilisha mfumo wake wa kula....
Asubuhi kabla akawa chochote apate asali ...apige mazoezi kdgo kabla ajaenda job na baada ya kurudi job.
Breakfast maziwa yenye tangawizi na asali na mdalasini; karanga mchana anaweza msosi wa kawaida wowote jioni matunda full package na karanga. Kila mlo unaweza kupata asali & matunda ni poa. all the best mkuu
Bila kusahau mayai ya kienyeji ukiweza kupata asubuhi sio mbaya maana madini yaliyopo kwenye maziwa yanaitaji vitamin iliyopo kwenye mayai ili yafanye kazi ila kama ni ya dukani sio lazima kwani mengi yanakuwa fortified
 
Kwanza kabisa mpe pole rafiki yako. Kwa kiasi kikubwa naamini rafiki yako ameathirika kisaikolojia na si mfumo wake. Coz nikiangalia age yake, bado sana. Ila nina maswali mawili matatu kabla ya kutoa ushauri wangu.
Umesema rafiki yako ana umri kati ya miaka 25 na 30, je alikuwa member wa CHAPUTA kwa muda gani, na pattern ya dose ilikuwaje. Yaani mara ngapi kwa siku, week, au mwezi. Na je, alikuwa akitumia mbinu gani ya kuamsha hisia?. Yaani alikuwa akipiga tu hivihivi, au alikuwa akitumia picha, au alikuwa akitumia video?.Madhara ya kisaikolojia hutofautiana kulingana na mbinu hizo nilizotaja. Ni kama teja, kuvuta, kunusa, au kujidunga. Na mwisho, je amerudisha membership card ya CHAPUTA au bado?. Naomba majibu ya maswali hayo ili tuone tunamsaidiaje jamaa yako.
 
Kwanza kabisa mpe pole rafiki yako. Kwa kiasi kikubwa naamini rafiki yako ameathirika kisaikolojia na si mfumo wake. Coz nikiangalia age yake, bado sana. Ila nina maswali mawili matatu kabla ya kutoa ushauri wangu.
Umesema rafiki yako ana umri kati ya miaka 25 na 30, je alikuwa member wa CHAPUTA kwa muda gani, na pattern ya dose ilikuwaje. Yaani mara ngapi kwa siku, week, au mwezi. Na je, alikuwa akitumia mbinu gani ya kuamsha hisia?. Yaani alikuwa akipiga tu hivihivi, au alikuwa akitumia picha, au alikuwa akitumia video?.Madhara ya kisaikolojia hutofautiana kulingana na mbinu hizo nilizotaja. Ni kama teja, kuvuta, kunusa, au kujidunga. Na mwisho, je amerudisha membership card ya CHAPUTA au bado?. Naomba majibu ya maswali hayo ili tuone tunamsaidiaje jamaa yako.
Ngoja niulize mkuu nitarud
 
Kijana acha janja ya nyani, huyo ni wewe ila umemvisha janga mwanao au sio mzee baba! Cha muhimu toba tu babu kisha kula matunda ya kutosha hasa ndizi, watermelon, tangawizi na bila kusahau maji mengi! Hilo tatizo ni temporary litaondoka, mi sometimes hunipata nikiwa over dehydrated nakuwa stimuless beyonce akikatiza uchi naona kama matakow ya bushmeni tu! Ila nikishapiga maji ya kutosha siku mbili mfululizo nakaa mkao!
Zingatia maji mengi, matunda na mazoezi ili damu itembee ukichanganyia na tangawizi inakuwa bab kubwa zaidi!
 
Back
Top Bottom