STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
USA baba laooooo
kweli mkuu? wametangaza wapi?Wamarekani wameshagundua dawa tayari jana wametangaza.
Udini rohombaya chuki vimekutawala kwenye kichwa chako, Je huo ugonjwa ukiikumba familia yako kabla ya hao Waislam utajiskiaje?Kama naiona kwa mbaaali nchi flani hivi ya kiislamu ikifatia kukumbwa na hili janga duuuh...!
Mungu tusaidie na shetani ashindwe kwa jina la Yesu.
Sent using Jamii Forums mobile app
rejea hata MUNGU alitumia magonjwa kuendesha vita vyake,Yaani ww akili zako ni pumba tupu, kwahio unaisifu Us kwa kuuwa watu wasiokua na hatia? [emoji848] Msitumie kamasi ktk kufkiria, mambo mengine mnashabikia upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
rejea hata MUNGU alitumia magonjwa kuendesha vita vyake,
SureHuu ugonjwa ni sahihi umepandikizwa na USA ili kuharibu uchumi wa china na baadhi ya nchi za kanda hizo,kumekuwepo na migororo sana , attention nying sana zinazohusu mataifa haya hivi karibun kiuchumi,white people are like animals,kama waliweza tengeneza HIV hata hili hawashindwi.
Acheni porojo za kahawa hapa huo ujonjwa unatokana na tabia zao za kupenda kula hovyo.Huu ugonjwa ni sahihi umepandikizwa na USA ili kuharibu uchumi wa china na baadhi ya nchi za kanda hizo,kumekuwepo na migororo sana , attention nying sana zinazohusu mataifa haya hivi karibun kiuchumi,white people are like animals,kama waliweza tengeneza HIV hata hili hawashindwi.
... ngamia pia wana virusi jamii ya corona.Acheni porojo za kahawa hapa huo ujonjwa unatokana na tabia zao za kupenda kula hovyo.
Kama ni marekani basi hawatakii mema washirika wake maana japan na S. Korea wamesha hathirika na huu ugonjwa.
Ni aibu kwa tz kuwa na wasoni wenye mawazo mgando kama nyinyi.
sina maana hiyo wewe wasema
PoleeeKama naiona kwa mbaaali nchi flani hivi ya kiislamu ikifatia kukumbwa na hili janga duuuh...!
Mungu tusaidie na shetani ashindwe kwa jina la Yesu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuda na hatatokea kiumbe alijikamilisha kwakila kituKile kibaba kiache kiburi jamani, mimi nilijua amejikamilisha kila kitu ndio maana jeuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli.... ngamia pia wana virusi jamii ya corona.
USA aliwatuma wale popo?Huu ugonjwa ni sahihi umepandikizwa na USA ili kuharibu uchumi wa china na baadhi ya nchi za kanda hizo,kumekuwepo na migororo sana , attention nying sana zinazohusu mataifa haya hivi karibun kiuchumi,white people are like animals,kama waliweza tengeneza HIV hata hili hawashindwi.
Udini rohombaya chuki vimekutawala kwenye kichwa chako, Je huo ugonjwa ukiikumba familia yako kabla ya hao Waislam utajiskiaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulivyo jeuri hapa JF umejikamilisha kwa lipi?[emoji41][emoji41][emoji41]Kile kibaba kiache kiburi jamani, mimi nilijua amejikamilisha kila kitu ndio maana jeuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifuatacho mmarekani atawauzia dawa kwa gharama kubwa na kuendelea kustabilize uchumu wake. Hapa dawa wachina nao watengeneze kitu wakitupe USA then watangaze kuwa wamepata dawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasemaje!??? USA BABALAOOOOOYaani ww akili zako ni pumba tupu, kwahio unaisifu Us kwa kuuwa watu wasiokua na hatia? [emoji848] Msitumie kamasi ktk kufkiria, mambo mengine mnashabikia upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app