LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 866
- 1,109
Wakati mwingine watu wanajiuliza hili jimbo lilianzishwa kimakosa? Barabara zote muhimu ni chakavu na sio za lami.
Nilipita barabara ya kibanda cha mkaa kwenda mjimpya nikajiuliza hili jimbo lina Tarura? Na kama Tarura ni wazembe mbunge na diwani na hata chama tawala wako wapi?
Kimsingi hili jimbo lipo kwenye auto pilot na CCM italipoteza kwa hali iliyopo sasa.
Hakuna mbunge wala diwani.
Nilipita barabara ya kibanda cha mkaa kwenda mjimpya nikajiuliza hili jimbo lina Tarura? Na kama Tarura ni wazembe mbunge na diwani na hata chama tawala wako wapi?
Kimsingi hili jimbo lipo kwenye auto pilot na CCM italipoteza kwa hali iliyopo sasa.
Hakuna mbunge wala diwani.