ninyi wananchi muishio kibamba hamna tofauti kubwa na sisi wa jimbo la segerea ni kama tumekosa muwakilishi.Wakati mwingine watu wanajiuliza hili jimbo lilianzishwa kimakosa? Barabara zote muhimu ni chakavu na sio za lami.
Nilipita barabara ya kibanda cha mkaa kwenda mjimpya nikajiuliza hili jimbo lina Tarura? Na kama Tarura ni wazembe mbunge na diwani na hata chama tawala wako wapi?
Kimsingi hili jimbo lipo kwenye auto pilot na CCM italipoteza kwa hali iliyopo sasa.
Hakuna mbunge wala diwani.
Kinyerezi ni jimbo la wapi?ninyi wananchi muishio kibamba hamna tofauti kubwa na sisi wa jimbo la kinyerezi ni kama tumekosa muwakilishi.
well noted,Wakati mwingine watu wanajiuliza hili jimbo lilianzishwa kimakosa? Barabara zote muhimu ni chakavu na sio za lami.
Nilipita barabara ya kibanda cha mkaa kwenda mjimpya nikajiuliza hili jimbo lina Tarura? Na kama Tarura ni wazembe mbunge na diwani na hata chama tawala wako wapi?
Kimsingi hili jimbo lipo kwenye auto pilot na CCM italipoteza kwa hali iliyopo sasa.
Hakuna mbunge wala diwani.
Issa Mtemvu anakula zake bata huko mjengoni, ninyi pambaneni na hali zenuMakabe hali ni tete sana mbunge sijui anafanya kazi gani
samahani nilikuwa na maana jimbo la segerea (dar es salaam)Kinyerezi ni jimbo la wapi?
Asante mkuu! Hata mimi nilielewa ila nikaweka utani tu!samahani nilikuwa na maana jimbo la segerea (dar es salaam)
Ukienda Msumi na Mpigi magohe nd'o utalia.Wakati mwingine watu wanajiuliza hili jimbo lilianzishwa kimakosa? Barabara zote muhimu ni chakavu na sio za lami.
Nilipita barabara ya kibanda cha mkaa kwenda mjimpya nikajiuliza hili jimbo lina Tarura? Na kama Tarura ni wazembe mbunge na diwani na hata chama tawala wako wapi?
Kimsingi hili jimbo lipo kwenye auto pilot na CCM italipoteza kwa hali iliyopo sasa.
Hakuna mbunge wala diwani.
hakuna tatizo ndugu yangu.Asante mkuu! Hata mimi nilielewa ila nikaweka utani tu!