Kasomi JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 11,030 Reaction score 20,391 Oct 9, 2021 #1 COVID 19: Watu 1,045,918 wamechanjwa nchini kenya huku wizara ya Afya imetangaza visa vipya 159 nchini kenya kutoka kwa sampuli ya watu 4,406 ambao wamepimwa ndani ya masaa 24
COVID 19: Watu 1,045,918 wamechanjwa nchini kenya huku wizara ya Afya imetangaza visa vipya 159 nchini kenya kutoka kwa sampuli ya watu 4,406 ambao wamepimwa ndani ya masaa 24
Ntaghacha JF-Expert Member Joined Jul 28, 2020 Posts 1,412 Reaction score 4,122 Oct 10, 2021 #2 Kwani lockdown haijamaliza corona huko kunyaland?
Kasomi JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 11,030 Reaction score 20,391 Oct 10, 2021 Thread starter #3 Ntaghacha said: Kwani lockdown haijamaliza corona huko kunyaland? Click to expand... Hapo nahisi bado Sana hawa majirani zetu. Labda MK254 atujuze vizuri
Ntaghacha said: Kwani lockdown haijamaliza corona huko kunyaland? Click to expand... Hapo nahisi bado Sana hawa majirani zetu. Labda MK254 atujuze vizuri
Haifungiki JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 3,076 Reaction score 14,775 Oct 10, 2021 #4 Ntaghacha said: Kwani lockdown haijamaliza corona huko kunyaland? Click to expand... Lockdown ni nini
Ntaghacha said: Kwani lockdown haijamaliza corona huko kunyaland? Click to expand... Lockdown ni nini
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Oct 10, 2021 #5 Kazi ipo...