#COVID19 Hali ya COVID 19 nchini Kenya

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
COVID 19: Watu 1,045,918 wamechanjwa nchini kenya huku wizara ya Afya imetangaza visa vipya 159 nchini kenya kutoka kwa sampuli ya watu 4,406 ambao wamepimwa ndani ya masaa 24
 
Kwani lockdown haijamaliza corona huko kunyaland?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…