mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Sisi tuna mafua makali TU, kwani hamuelewi au mnatakaje Kwa mfano, au turudishe kibanda fukiza kama mmekimiss, ila kumbukeni mlimsikiliza gwajiboy mkagomea chanjo, Sasa subirini kikaango kama akina Mr . Slow &coTumeambiwa wachezaji (13) wa Simba wanaumwa mafua na kukohoa pamoja na vifua posbly ni Covid19
Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake u20 wamekutikana na Covid19 ni 16
Zitto kabwe amekutwa na Covid19
Watu dar wanamafua makali
Tusidanganyane Gwajima atoke na atuambie kuwa tumevamiwa
Na sisi wananchi tuanze kuchukua hatua
Angalia timu ya Simba si ilitakiwa iwe karantini Sasa ipo inaongea na mediaChukua hatua kuendana na miongozo ya WHO ndugu! Achana na wahuni.
Covid19 Tz inaua lakini hamna mtu anaiogopaSisi tuna mafua makali TU, kwani hamuelewi au mnatakaje Kwa mfano, au turudishe kibanda fukiza kama mmekimiss, ila kumbukeni mlimsikiliza gwajiboy mkagomea chanjo, Sasa subirini kikaango kama akina Mr . Slow &co
Sisi ni weledi kweli, kweli tumeweza kudhibiti w3 &w4 Kwa weledi🏃Angalia timu ya Simba si ilitakiwa iwe karantini Sasa ipo inaongea na media
Covid19 Tz inaua lakini hamna mtu anaiogopa