Hali ya foleni bandarini inatisha

Hali ya foleni bandarini inatisha

TCSPM

Member
Joined
Dec 3, 2020
Posts
52
Reaction score
78
Habari!

Wanajukwaa siku za hivi karibuni bandarini kumekuwa na hali mbaya sana katika uingiaji na utokaji wa malori bandarini lori ambalo linaanzia foleni malawi cargo mpaka lifike kitopeni liingie bandarini lipakie litoke lije litumie mizani wa Malawi cargo ni kama 4km tu lakini lori linatumia zaidi ya 24h kwa huo mzunguko hii ni mbaya sana huu si ufanisi uliokusudiwa.

Natoa wito kwa mamlaka husika kufanya uchunguzi wa hili tatizo na kuliweka sawa kwa taarifa isiyo rasmi kutoka kwa moja ya wadau wakubwa wa kazi ya kuhamisha makasha (madereva) wanadhani wafanya kazi wa bandari yetu wana mgomo baridi.

Hivyo mamlaka husika litazameni hili kwa jicho la kipekee kbs.
 
Mamlaka iliyosababisha tatizo ndiyo unaitaka itumie jicho la kipekee kutazama. Haya subiri basi.
 
Habari!

Wanajukwaa siku za hivi karibuni bandarini kumekuwa na hali mbaya sana katika uingiaji na utokaji wa malori bandarini lori ambalo linaanzia foleni malawi cargo mpaka lifike kitopeni liingie bandarini lipakie litoke lije litumie mizani wa Malawi cargo ni kama 4km tu lakini lori linatumia zaidi ya 24h kwa huo mzunguko hii ni mbaya sana huu si ufanisi uliokusudiwa.

Natoa wito kwa mamlaka husika kufanya uchunguzi wa hili tatizo na kuliweka sawa kwa taarifa isiyo rasmi kutoka kwa moja ya wadau wakubwa wa kazi ya kuhamisha makasha (madereva) wanadhani wafanya kazi wa bandari yetu wana mgomo baridi.

Hivyo mamlaka husika litazameni hili kwa jicho la kipekee kbs.
Outbound logistics za bandari need overhaul
 
Ukiona hivo ujue documentation iko slow,Loading slow na magumashi ya kukwamisha mizigo ili ipate charges wapige hela!
Ngozi nyeusi ogopa sana kila kazi anayofanya hata alipwe vipi lazima alete ujinga wa kutengeneza mazingira!
Upo sahihi mkuu kuna kampuni X ina makasha 80+yanaingia storage saa6 usiku zimepelekwa gari hazipqkii na zilizopakia hazitoki foleni
 
Mbona walituaminisha kwamba dipii woridi itamaliza hii mikato🤔
 
Upo sahihi mkuu kuna kampuni X ina makasha 80+yanaingia storage saa6 usiku zimepelekwa gari hazipqkii na zilizopakia hazitoki foleni
Hapo wanajua kila mzigo unaoingia storage ila hawajui kufanya kazi kwa ufanisi!
Tena huwa wana note kabisa mzigo ukikaribia storage au ukifeli kufanya bond cancellation mapema kwa watu wa TRA.
Hao jamaa ni wapuuzi sana saizi huyo jamaa ajiandae tu kwenda kuongea nao na keshi mkononi!
Mifumo yetu hii ni balaa tena unakutana kabisa na Mtanzania ndo anakufanyia huu ujinga!
Ndo maana watu wanaingia kwenye siasa ila mambo yao yaende kwa ulaini tofauti na hapo matatizo kila siku!
 
Ukiona hivo ujue documentation iko slow,Loading slow na magumashi ya kukwamisha mizigo ili ipate charges wapige hela!
Ngozi nyeusi ogopa sana kila kazi anayofanya hata alipwe vipi lazima alete ujinga wa kutengeneza mazingira!
Hakika
 
Sina la kusema zaidi ya kusema

R.I.P Magufuli

Alipoingia madarakani alikuta bandari kavu zinajaa mizigo ya storage

Hadi siku anakufa bandari kavu walikuwa wanalala paka na Panya

Sasa hivi paka na Panya wameondoka imerudi mizigo ya wafanya biashara wa ndani na nje
 
Ukiona hivo ujue documentation iko slow,Loading slow na magumashi ya kukwamisha mizigo ili ipate charges wapige hela!
Ngozi nyeusi ogopa sana kila kazi anayofanya hata alipwe vipi lazima alete ujinga wa kutengeneza mazingira!
Au mizigo imeongezeka

Tumlete sheikh kipozeo aje atusue mizigo
 
Hali ni mbaya sana barabara ya bandarini .Magari hayapitiki foleni ya kufa mtu.Mamlaka zipo tu hkna wanachofanya.Naskia tu kuna mwanamama mizigo yake ikiingia hta kma kakuta folen anapitishwa yy kwanza.Nchi imeozaaaaa
 
Back
Top Bottom