Hali ya Kisiasa na Kijamii Kati ya ISRAEL na Nchi za Kiarabu

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451

Sehemu ndogo nyeupe kwenye ramani ni ISRAEL, na sehemu ya kijani ni nchi za Kiarabu. ISRAEL ina idadi ya watu milioni 9 pekee, huku nchi za Kiarabu zikiwa na karibu milioni 500. Ingawa hali hii, zaidi ya miaka 120, WAARABU wamekuwa wakinyanyaswa na ISRAEL. Na nina uhakika kwamba kufikia mwaka 2025, ISRAEL itakuwa imefika Damascus.
 
Picha imetoa ujumbe mkubwa na mzito kuliko maelezo uliyotoa.

Hii dunia bhana inamaajab yake, moja kati ya maajab ni hali ilivyokwenye picha
 
Tia mmarekani hapo kwenye nyeupe tuanze kujadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…