Pre GE2025 Hali ya kisiasa ndani ya CHADEMA, imepatwa na nini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
650
Reaction score
1,016
1. Mwenyekiti yupo kimya anaonekana kwenye makongamano tuu ya TCD na aina iyo. Hakuna kauli yoyote toka Kamati Kuu ikae

2. Makamu Mwenyekiti anafanya mikutano peke yake (sio kitaasisi) huku akiendelea kupitisha bakuli la kununua shangingi. Kajikita singida kwao. Je, anataka kuanzisha Chama chake

3. Lema (Nabii) kajiweka pembeni kwasasa haongelei Chama kabaki kutumia akaunti feki kumsakama makonda na Samia

4. Msigwa nae leo kuongea na wanahabari kutokea nyumbani kwake.

Chama kinaenda mlama na Kila mtu Kawa kambale
 
Hata munyika tangu ameoa yupo zake haneymun
 
Good thing masisiemu manikubali sana CDM huo ndio ukweriiiiii mnachangqnyikiwa hamjui wanakuja na lipi kifupi wameshawazidi mbinu
 


Njia sahihi iliyobakia ya kukiondosha ccm madarakani ili kuwa na maendeleo endelevu ni kukisambaratisha kwa viongozi waandamizi wenye ushawishi kuanzisha vyama vyao au kujiunga na vilivyopo.
KANU, ZANU PF na sasa ANC kinakwenda na maji!
Tukiwapata wengi wenye ujasiri kama wa Jacob Zuma tutafikia lengo. Walahu Edward Lowassa alijaribu!
Siasa ya kimapinduzi ni namba! Siyo umimi wala ubinafsi!
 
Watu wanaifatilia CHADEMA kuliko hata bunge la bajeti linalobeba hatma yao.
 
Twende na Hashim Rungwe tule ubwabwa na minyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…