joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Rais Uhuru Kenyatta amewataka mawaziri wote pamoja na makatibu katika wizara kuchukua likizo ya mapumziko.
Likizo hiyo ya siku 14 itaanza Jumatatu, Agosti 17 hadi Septemba 3 kulingana na taarifa kutoka Ikulu.
Aidha katibu wasimamizi na katibu wa kudumu pia wametakiwa kuenda nyumbani kupumzika kwa kipindi hicho.
Duru zinaarifu huenda hatua hiyo ni kumuwezesha Rais kutangaza baraza lipya la mawaziri.
Mawaziri waingiwa na wasiwasi baada ya Rais Uhuru kuwatuma mapumziko
======
MY TAKE: Haya ndio matokeo ya kumchagua mlevi kuwa rais wa nchi [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Likizo hiyo ya siku 14 itaanza Jumatatu, Agosti 17 hadi Septemba 3 kulingana na taarifa kutoka Ikulu.
Aidha katibu wasimamizi na katibu wa kudumu pia wametakiwa kuenda nyumbani kupumzika kwa kipindi hicho.
Duru zinaarifu huenda hatua hiyo ni kumuwezesha Rais kutangaza baraza lipya la mawaziri.
Mawaziri waingiwa na wasiwasi baada ya Rais Uhuru kuwatuma mapumziko
======
MY TAKE: Haya ndio matokeo ya kumchagua mlevi kuwa rais wa nchi [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]