Hali ya kumzoea mume/ mke wako na kumuona kama ndugu yako ina suluhisho?

Hali ya kumzoea mume/ mke wako na kumuona kama ndugu yako ina suluhisho?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Habari za jioni wakuu wa baraza, nina swali kwenu, hasa wale wanaoishi na wenza wao au wapenzi. Mwanzoni, penzi likiwa jipya unaweza hata kufanya mapenzi mara mbili kwa siku au kila siku.

Ila kadri muda unavyozidi kwenda, unamzoea mwenzako kiasi kwamba hata wiki inaweza kupita hamjafanya kitu, na unakuta hamjagombana, mko vizuri kabisa, mnakula vizuri, ila tu ile hamu inashuka sana.

Sasa nauliza kama kuna suluhisho lolote la kufanya ili umuone mpenzi wako kama mpya hata kama mkipumzika, basi zisizidi siku mbili. Mbona punyeto unaweza kufanya kila siku, kwanini isiwe kwa mke, tena unakuta mrembo haswa?

Na mkisema kwamba usile kila siku dagaa, badilisha kidogo leo maharage, itakuwa ni kuunga mkono umalaya.
 
Jitahidi kwenda Vacation, muda mwingine mkalale hotel …muwe watu wa kupeana zawadi yaani msiboe kwenye mapenzi.

Unaweza kujiekea kila mwezi lazima umspoil mwenza wako na yeye akuspoil.

Mke ajitahidi awe anavaa mavazi ya kuvutia na ya uchokozi mkiwa pamoja.

Pia kama mwanzo alikua na umbo flan hata kama kazaa ajitahidi kurudi mwili wake wa zamani.

Kuna maisha baada ya kuzaa
 
Jitahidi kwenda Vacation, muda mwingine mkalale hotel …muwe watu wa kupeana zawadi yaani msiboe kwenye mapenzi.

Unaweza kujiekea kila mwezi lazima umspoil mwenza wako na yeye akuspoil.

Mke ajitahidi awe anavaa mavazi ya kuvutia na ya uchokozi mkiwa pamoja.

Pia kama mwanzo alikua na umbo flan hata kama kazaa ajitahidi kurudi mwili wake wa zamani.

Kuna maisha baada ya kuzaa
🌼🌺Chukua mauwa yako
 
Jitahidi kwenda Vacation, muda mwingine mkalale hotel …muwe watu wa kupeana zawadi yaani msiboe kwenye mapenzi.

Unaweza kujiekea kila mwezi lazima umspoil mwenza wako na yeye akuspoil...
Maisha yenyewe si unajua yalivyobana hayo mambo ya kutoka out sana tuachie wazungu au kwenye movie ...ila sijakataa kama haiwezekani kwa wengi
 
Maisha yenyewe si unajua yalivyobana hayo mambo ya kutoka out sana tuachie wazungu au kwenye movie ...ila sijakataa kama haiwezekani kwa wengi
Mkuu wewe ndiyo huwezi kuna wengine tunaweza ni mipango tu.

Moments zinasaidia sana kwenye mahusiano na kufanya mjione wapya kila siku.

Sio lazima uende Dubai hata Arusha panafaa! Sio lazima ulale Serena hata hotel za kawaida.
 
1724085460948.jpg
ndio mnakuwa hivyo au?
 
Jitahidi kwenda Vacation, muda mwingine mkalale hotel …muwe watu wa kupeana zawadi yaani msiboe kwenye mapenzi.

Unaweza kujiekea kila mwezi lazima umspoil mwenza wako na yeye akuspoil.

Mke ajitahidi awe anavaa mavazi ya kuvutia na ya uchokozi mkiwa pamoja.

Pia kama mwanzo alikua na umbo flan hata kama kazaa ajitahidi kurudi mwili wake wa zamani.

Kuna maisha baada ya kuzaa
Na sisi tunaokaa nyumba za nyasi, twende wapi likizo wapi na tulale hotel gani?.
 
Back
Top Bottom