Chui mnyama
Member
- Apr 2, 2017
- 67
- 33
Pikipiki sasa zinakokotwa kama baiskeli, bodaboda wahaha! Bei yapaa kwa wauzaji wa videbe.
Inasemekana kuna mgomo wa wamiliki wa vituo vya mafuta. Hawaridhiki na bei ya sasa.
Vipi hali ya upatikanaji wa petrol kwa upande wako huko uliko mwana jukwaa mwenzangu?
Pia soma > Wilaya ya Ngara hakuna petroli siku ya nne
Inasemekana kuna mgomo wa wamiliki wa vituo vya mafuta. Hawaridhiki na bei ya sasa.
Vipi hali ya upatikanaji wa petrol kwa upande wako huko uliko mwana jukwaa mwenzangu?
Pia soma > Wilaya ya Ngara hakuna petroli siku ya nne