Hali ya maisha ya sasa imekuwa ngumu

TZ-1

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
4,321
Reaction score
7,501
Ambao tayari tumejijengea uzoefu wa maisha ya kutafuta na kusimamia vpato vyetu ndani ya 12/15 years kipindi chote hicho lakini huu mwaka naona umekuwa mgumu zaidi kuwahi kutokea

Facts
Kwa siku naweza kupokea jumbe za kuombwa Ela zaid ya watu 2/3 na wako seriously na uhitaji wakati huohuo na mimi nimebananishwa na bajeti kali ili nisitoke nje ya mstari.

Wataalamu wa uchumi (mcc mnasemaje)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…