Hali ya Mapenzi imeimarika mtaani baada ya Covid-19

Hali ya Mapenzi imeimarika mtaani baada ya Covid-19

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Habari wana JFs MMU.

Hali si siri tena. Mambo yamebadilika ghafla. Twaweza kusema asante corona! Japo imekuja na mabalaa ya kuugua na baadhi ya vifo huko duniani na Leo Tz R.I.P Issa H. Mtibwa( kama sijakosea jina).

Pamoja na madhara hayo kwa upande mwingine Corona imekuja na matokeo chanya kimapenzi. Wale wadada wazuri wazuri waliokuwa wanatupiga chenga sasa wanatusalimia kwa bashasha na ukiomba mzigo unapewa fasta bila hiyana. Hali ni mbaya kiuchumi mtaani. Na inatarajiwa kuwa mbaya zaidi ikiwa hili janga litaendelea. Matokeo yake maringo na nyodo zimeisha kwa walimbwende.

Ni muda sasa sisi tulioko kwenye bomba la pesa lisiloathiriwa na mlipuko wa corona( yaani sisi watumishi wateule wa rais ktk nyadhifa mbali mbali) hali ni nzuri mno.

Wife kaongeza mahaba, mtaani ndio usiseme. Warembo full kujilengesha, leo tu nimemfumua mmoja mkali. Na kesho kuna mwingina naona ananipa appointment yeye mwenyewe.

Mahotel yamefungwa baadhi ya Bar zimepungua mauzo, kampuni mbali mbali ziko hoi na watumishi wao ( wengi hawa warembo) wamegeuza dira zao.

Hali ni nzuri na Covid-19.

Je huko kwako hali ikoje kimapenzi?? Leteni tathmini
 
Kitulize usipeleke Covid 19 nyumbani, hao unaokutana nao hujui wamekutana na kina nani na wana hali gani.##STAYSAFE##
Kama hawana dalili basi hawawezi kuambukiza....according to medical health specialists
 
Habari wana JFs MMU.

Hali si siri tena. Mambo yamebadilika ghafla. Twaweza kusema asante corona! Japo imekuja na mabalaa ya kuugua na baadhi ya vifo huko duniani na Leo Tz R.I.P Issa H. Mtibwa( kama sijakosea jina).



Je huko kwako hali ikoje kimapenzi?? Leteni tathmini
Corona imefanya wale wenye wake / waume wanoko kujikuta wanaishi kwenye maisha ya total lockdown isiyo rasmi
 
COVID 19 ni ya kishwaini mno japo kuna koloni langu limeanza kuntafuta kwa fujo toka juzi...ila kwa sasa hali ya mifuko yangu ina matundu makubwa zaidi ya virusi vya Corona
 
COVID 19 ni ya kishwaini mno japo kuna koloni langu limeanza kuntafuta kwa fujo toka juzi...ila kwa sasa hali ya mifuko yangu ina matundu makubwa zaidi ya virusi vya Corona
Hahhaa basi asante kwa Ripoti Extrovert.....hali si nzuri kwako endelea kuchukua tahadhari japo ikuachie uhai wako.
 
Back
Top Bottom