Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Hivi ndivyo hali ilivyo upande wa mitaa ya Mwanza kutokana na mvua iliyonyesha leo Desemba 2, 2024 ambapo maji yamejaa katikamaeneo mengi iliwemo kufunika Barabara.
Hii ni mitaa ya Furahisa – Kirumba.
Hii ni mitaa ya Furahisa – Kirumba.