A
Anonymous
Guest
Serikali ikiwa kwenye jitihada nzito za kuhakikisha NISHATI UMEME inapatikana vijijini kote lakini huku hali ni tofauti.
Kata ya Gilya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, taasisi za Serikali kama Shule na Zahanati hazina UMEME huu mwaka wa pili, ikiwa nguzo za UMEME zimepita kuelekea vijijini kwenye nyumba za watu binafsi.
Hali hii imefanya wadau binafsi kufanya jitihada za kufuatilia na kugundua kuwa inasababishwa na mihemko ya siasa kwa viongozi hasa Diwani kuanza kujiandalia mazingira ya kupata kura na pia hata Mbunge kushindwa kusimamia jambo hili.
Naomba suala hili liwekwe wazi na lipate kumfikia Rais.
Madudu ni mengi Mkoa wa Simiyu, kuna miungu watu tumewachoka.
Kata ya Gilya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, taasisi za Serikali kama Shule na Zahanati hazina UMEME huu mwaka wa pili, ikiwa nguzo za UMEME zimepita kuelekea vijijini kwenye nyumba za watu binafsi.
Hali hii imefanya wadau binafsi kufanya jitihada za kufuatilia na kugundua kuwa inasababishwa na mihemko ya siasa kwa viongozi hasa Diwani kuanza kujiandalia mazingira ya kupata kura na pia hata Mbunge kushindwa kusimamia jambo hili.
Naomba suala hili liwekwe wazi na lipate kumfikia Rais.
Madudu ni mengi Mkoa wa Simiyu, kuna miungu watu tumewachoka.