Hali ya Rushwa ya Ngono Nchini

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Your browser is not able to display this video.


Rushwa ya Ngono inahusisha Dhuluma na Unyanyasaji, na inakiuka Haki za Binadamu na Heshima ya Watu.

Aina hii ya Rushwa hutumia nguvu ya Kisaikolojia kumshawishi Mtu kutoa Mwili wake Kingono ili kupata Upendeleo kama Safari za Kikazi, Matokeo mazuri Chuoni, Unafuu wa Kazi, Kupanda Cheo, Kutoadhibiwa kwa Makosa mbalimbali nk.
 
Ukimtaka bila chochote atataka chochote,, na ukiwa na chochote atafanya lolote,, tatizo nini hapo sawa sawa tu toa ili upate huwezi kutoa vigumu kupata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…