Hali ya Tanzania inaogopesha kutoa maoni kwa sababu ya Polisi, UVCCM na CCM yenyewe

Hali ya Tanzania inaogopesha kutoa maoni kwa sababu ya Polisi, UVCCM na CCM yenyewe

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,430
Reaction score
2,130
Honestly ndio ukweli.

Salamu ni muhimu maana hatupo sehemu moja wakuu!

Kwa hali ilivyo sasa ivi

Hatuwezi tena kutoa maoni juu ya namna nchi yetu itakavyoendeshwa

Kwa sababu ukitoa maoni ambayo wenye mamlaka hawayapendii wallah nakuambia unakamatwaa very soon kama Mh Mboye alivyokamatwa leo asubuhii.

Sema Mboye ana akili sanaaa Polisi wamekesha nyumbani kwake kumbe mwamba hayupo hata.

Hata Accounts zangu zingine zimesimama kabisaaa. Sijui JamiiForums wanatuhakikishiaje usalama wetuu.

Lakini tukiwa Kunguni kama Lucas Mwashambwa
Mambo yetu ni bamubamuu

Leo Bibi yangu watu hawana habari naye hata yuko wapi pamoja na vyombo vyote kuattention huko alipo lkn wapi CDM kiboko ya Dola na CCM.

Wanahaha

Lucas Mwashambwa
 
Ushauri kwa wanaokaa kwenye makundi,wawe wanajadili mambo ya mpira,wanawake wenye misambwanda stori za madem basi hapo hamta guswaaa

Ova
 
Ushauri kwa wanaokaa kwenye makundi,wawe wanajadili mambo ya mpira,wanawake wenye misambwanda stori za madem basi hapo hamta guswaaa

Ova
Mkuu ni sawa lkn kila mtuu ana Hoby yake mkuuu sisi wengine toka tunazaliwa ni viongozi kwenye jamii zetuu hadi tumemaliza Vyuo Vikuu ni viongozi
Na tumekuwa na michango chanya lwenye taifa letu sema sasa inapingana na watawala
 
Mkuu ni sawa lkn kila mtuu ana Hoby yake mkuuu sisi wengine toka tunazaliwa ni viongozi kwenye jamii zetuu hadi tumemaliza Vyuo Vikuu ni viongozi
Na tumekuwa na michango chanya lwenye taifa letu sema sasa inapingana na watawala
Mfumo sasa hautaki mjadili na kuhoji mambo ya msingi
Wanataka mjadili mipira,wasanii na skendo zao..
Madem wenye misambwanda
Watu wawe kutwa wanakatik mauno tu 😄

Ova
 
Honestly ndio ukweli.

Salamu ni muhimu maana hatupo sehemu moja wakuu!

Kwa hali ilivyo sasa ivi

Hatuwezi tena kutoa maoni juu ya namna nchi yetu itakavyoendeshwa

Kwa sababu ukitoa maoni ambayo wenye mamlaka hawayapendii wallah nakuambia unakamatwaa very soon kama Mh Mboye alivyokamatwa leo asubuhii.

Sema Mboye ana akili sanaaa Polisi wamekesha nyumbani kwake kumbe mwamba hayupo hata.

Hata Accounts zangu zingine zimesimama kabisaaa. Sijui JamiiForums wanatuhakikishiaje usalama wetuu.

Lakini tukiwa Kunguni kama Lucas Mwashambwa
Mambo yetu ni bamubamuu

Leo Bibi yangu watu hawana habari naye hata yuko wapi pamoja na vyombo vyote kuattention huko alipo lkn wapi CDM kiboko ya Dola na CCM.

Wanahaha

Lucas Mwashambwa

"Njia pekee ambayo Wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na Watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa kupitia mtutu wa bunduki."

Jeff's O'Brien.
 
Honestly ndio ukweli.

Salamu ni muhimu maana hatupo sehemu moja wakuu!

Kwa hali ilivyo sasa ivi

Hatuwezi tena kutoa maoni juu ya namna nchi yetu itakavyoendeshwa

Kwa sababu ukitoa maoni ambayo wenye mamlaka hawayapendii wallah nakuambia unakamatwaa very soon kama Mh Mboye alivyokamatwa leo asubuhii.

Sema Mboye ana akili sanaaa Polisi wamekesha nyumbani kwake kumbe mwamba hayupo hata.

Hata Accounts zangu zingine zimesimama kabisaaa. Sijui JamiiForums wanatuhakikishiaje usalama wetuu.

Lakini tukiwa Kunguni kama Lucas Mwashambwa
Mambo yetu ni bamubamuu

Leo Bibi yangu watu hawana habari naye hata yuko wapi pamoja na vyombo vyote kuattention huko alipo lkn wapi CDM kiboko ya Dola na CCM.

Wanahaha

Lucas Mwashambwa
 

Attachments

  • 20240923_105848.jpg
    20240923_105848.jpg
    97.7 KB · Views: 3
Wapiga porojo tu nyie . Watanzania wana imani kubwa sana na Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.ndio sababu wanaendelea kumuunga mkono na hawapo tayari hata kidogo kuvuruga amani ya Nchi yetu kwa kufanya maandamano yasiyo ya msingi .
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Wapiga porojo tu nyie . Watanzania wana imani kubwa sana na Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.ndio sababu wanaendelea kumuunga mkono na hawapo tayari hata kidogo kuvuruga amani ya Nchi yetu kwa kufanya maandamano yasiyo ya msingi .
Taarifa yako
Wewe na Kunguni wengine Huyo mnayemuita mama
Na PhD Za Mchongo hajiamini mwenyewe na huo Uraisi wake ndio maana ikizungumzwa kuhusu uraisi
Lazima yeye na wew muanze kulialiaa

Zungumzia budget iliyotumiwa na polisi
 
Taarifa yako
Wewe na Kunguni wengine Huyo mnayemuita mama
Na PhD Za Mchongo hajiamini mwenyewe na huo Uraisi wake ndio maana ikizungumzwa kuhusu uraisi
Lazima yeye na wew muanze kulialiaa

Zungumzia budget iliyotumiwa na polisi
Ungeandamana basi ili ufundishwe adabu na kutii sheria bila shuruti
 
Honestly ndio ukweli.

Salamu ni muhimu maana hatupo sehemu moja wakuu!

Kwa hali ilivyo sasa ivi

Hatuwezi tena kutoa maoni juu ya namna nchi yetu itakavyoendeshwa

Kwa sababu ukitoa maoni ambayo wenye mamlaka hawayapendii wallah nakuambia unakamatwaa very soon kama Mh Mboye alivyokamatwa leo asubuhii.

Sema Mboye ana akili sanaaa Polisi wamekesha nyumbani kwake kumbe mwamba hayupo hata.

Hata Accounts zangu zingine zimesimama kabisaaa. Sijui JamiiForums wanatuhakikishiaje usalama wetuu.

Lakini tukiwa Kunguni kama Lucas Mwashambwa
Mambo yetu ni bamubamuu

Leo Bibi yangu watu hawana habari naye hata yuko wapi pamoja na vyombo vyote kuattention huko alipo lkn wapi CDM kiboko ya Dola na CCM.

Wanahaha

Lucas Mwashambwa
nadhani maoni na mtazamo wa Mtanzania yeyote yule, kuhusu jambo lolote lile iwe ni kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa au kimataifa, ni uhuru na haki ya kila moja wetu. Na hiyo haki na huo uhuru una mipaka mahususi, na kwakweli inafaa kuheshimiwa na kila moja wetu..

Hata hivyo,
ile jambo muhimu na ya maana zaidi ni Umoja, Amani na Utulivu wa waTanzani katika kila kona na pembe ya nchi hii.

Nadhani hii italindwa kwa gharama yoyote, na bila mbambamba wala tashwishi ya mtu au nchi yoyote ile duniani 🐒

be Free tu friend, ladies and gentlemen..
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Honestly ndio ukweli.

Salamu ni muhimu maana hatupo sehemu moja wakuu!

Kwa hali ilivyo sasa ivi

Hatuwezi tena kutoa maoni juu ya namna nchi yetu itakavyoendeshwa

Kwa sababu ukitoa maoni ambayo wenye mamlaka hawayapendii wallah nakuambia unakamatwaa very soon kama Mh Mboye alivyokamatwa leo asubuhii.

Sema Mboye ana akili sanaaa Polisi wamekesha nyumbani kwake kumbe mwamba hayupo hata.

Hata Accounts zangu zingine zimesimama kabisaaa. Sijui JamiiForums wanatuhakikishiaje usalama wetuu.

Lakini tukiwa Kunguni kama Lucas Mwashambwa
Mambo yetu ni bamubamuu

Leo Bibi yangu watu hawana habari naye hata yuko wapi pamoja na vyombo vyote kuattention huko alipo lkn wapi CDM kiboko ya Dola na CCM.

Wanahaha

Lucas Mwashambwa
CCM wanajua wakiacha demokrasia ichukue mkondo wake, mwakani hawatakuwepo ofisini.
 
Mkuu ni sawa lkn kila mtuu ana Hoby yake mkuuu sisi wengine toka tunazaliwa ni viongozi kwenye jamii zetuu hadi tumemaliza Vyuo Vikuu ni viongozi
Na tumekuwa na michango chanya lwenye taifa letu sema sasa inapingana na watawala
Sawa hatujakaa huo uongozi uishie hukohuko kwenye koo yako..
 
Honestly ndio ukweli.

Salamu ni muhimu maana hatupo sehemu moja wakuu!

Kwa hali ilivyo sasa ivi

Hatuwezi tena kutoa maoni juu ya namna nchi yetu itakavyoendeshwa

Kwa sababu ukitoa maoni ambayo wenye mamlaka hawayapendii wallah nakuambia unakamatwaa very soon kama Mh Mboye alivyokamatwa leo asubuhii.

Sema Mboye ana akili sanaaa Polisi wamekesha nyumbani kwake kumbe mwamba hayupo hata.

Hata Accounts zangu zingine zimesimama kabisaaa. Sijui JamiiForums wanatuhakikishiaje usalama wetuu.

Lakini tukiwa Kunguni kama Lucas Mwashambwa
Mambo yetu ni bamubamuu

Leo Bibi yangu watu hawana habari naye hata yuko wapi pamoja na vyombo vyote kuattention huko alipo lkn wapi CDM kiboko ya Dola na CCM.

Wanahaha

Lucas Mwashambwa
Baada ya kumaliza kuvuruga Maandamano ya Chadema sasa wanaenda kulala humu.😤
 

Attachments

  • 20240923_230113.jpg
    20240923_230113.jpg
    65.9 KB · Views: 3
Honestly ndio ukweli.

Salamu ni muhimu maana hatupo sehemu moja wakuu!

Kwa hali ilivyo sasa ivi

Hatuwezi tena kutoa maoni juu ya namna nchi yetu itakavyoendeshwa

Kwa sababu ukitoa maoni ambayo wenye mamlaka hawayapendii wallah nakuambia unakamatwaa very soon kama Mh Mboye alivyokamatwa leo asubuhii.

Sema Mboye ana akili sanaaa Polisi wamekesha nyumbani kwake kumbe mwamba hayupo hata.

Hata Accounts zangu zingine zimesimama kabisaaa. Sijui JamiiForums wanatuhakikishiaje usalama wetuu.

Lakini tukiwa Kunguni kama Lucas Mwashambwa
Mambo yetu ni bamubamuu

Leo Bibi yangu watu hawana habari naye hata yuko wapi pamoja na vyombo vyote kuattention huko alipo lkn wapi CDM kiboko ya Dola na CCM.

Wanahaha

Lucas Mwashambwa
Ingelikuwa JamiiForums wanalegeza basi victim wa kwanza ningekuwa mimi.

Usiwe na shaka uwapo humu
 
Back
Top Bottom