joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
One in five Kenyans trapped by bank loans
Central Bank of Kenya-backed survey by Financial Sector Deepening (FSD) reveals that farmers, the elderly and employees are most affected by the borrowing binge.
Kwakweli hali ya uchumi wa wakenya inaendelea kuwa mbaya siku hadi siku. Kama ilivyo serikali ya Kenya kukopa na kushindwa kulipa Madeni, wananchi wa Kenya hali ni mbaya zaidi, wengi wanashindwa kulipa mikopo hivyo kufilisiwa na Benki.