Hali ya uke kukauka wakati wa kufanya mapenzi

stricker

Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
18
Reaction score
1
Naomba niende moja kwa zote kwenye mada husika.mimi ni me nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa takriban mwaka mmoja sasa, kwa kipindi kirefu tuko mbali kwani mimi nipo Dar na yeye ni mwanafunzi mkoani Kilimanjaro.

Kwa sasa Yupo likizo Dar, juzi tulipata wasaa panapo 6x6. Baada ya kufanya mapenzi ikajitokeza hali yakupotea uteute na kukauka kabisa kabisa mara mbili nyakati tofauti.

Naomba kujua je nikweli nilimfikisha?

Mpenzi wangu anatatizo?au nilikosea kumuandaa?

Wadau naomba uzoefu wenu kwenye hili tafadhali
 

Hakua anajisikia kufanya hilo tendo kwa muda huo.ulilazimisha tu na yy hakuweza kukuambia kua hajisikii.ni hilo tu hakuna zaidi
 

naskia kuna watu by nature ni wakavu hata umuandaeeje. afu mtu kila siku ugari utegemee awe na maji? subutu
 
Tafuta KY.....achana nao hao wanaosema we mtoto. Ungekuwa mtoto ungekausha?

Walaumiwe walioua utaratibu wa kwenda jandoni....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…