Hali ya unga nchini ni tete.

Hali ya unga nchini ni tete.

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Habari wanajamvi,
Kwakweli maisha ni kupanda na kushuka, usishangane tajiri aliyeko jirani mwako kaporomoka kiuchumi, hali ya unga wa sembe nchini imepanda ghafla kwa takribani siku 3 tu , kutoka 38,000 elf hadi 48,000/= elf, hatari sana. Kwa ambao wapo mikoani hasa mikoa ya mbeya, iringa, rukwa, ruvuma, na kadhalika watujuze bei ya mahindi na upatikanaji Wake ili tujipange vizuri.
Tafadhali usimkashifu mtu.


By


Young


Dimaa.
 
Tutaheshimiana tu mwaka huu nyie si mnajifanya watu wa dar ni ma softwork hamjui kulima...
Mtakula kalio za bashite....
 
Back
Top Bottom