Hali ya upatikanaji wa ajira imekuwa ngumu

Hali ya upatikanaji wa ajira imekuwa ngumu

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Walimu watatu waliohitimu shahada ya Uzamivu (PhD) mwaka 2018 nchini Kenya wamelazimika kufundisha shule za awali [chekechea].

Hii ni Kutokana na kukosa nafasi kwenye vyuo vikuu na Taasisi za Elimu nchini humo.

Walimu hao ni Dk. John Timon Owenga, Dk. Violet Otieno na Dk. Daughty Akinyi.

20210913_174404.jpg
 
Nini kifanyike kupambana na suala la kukosekana/uhaba wa ajira?
 
Kozi nyingi za ngwini hata kama una PhD hakuna mtu ataona kama kuna msomi hapa, ukilinganisha na kozi za science, ngwini hoyeee.
 
Back
Top Bottom