Hali ya uteuzi imekuwa kama abiria wa daladala! Kupanda, kushuka, na kusukumwa pembeni

Hali ya uteuzi imekuwa kama abiria wa daladala! Kupanda, kushuka, na kusukumwa pembeni

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,265
Reaction score
2,919
Jana tu kuna teuzi zimefanyika na leo naona uteuzi wa Diwani unafutwa na kuweka mwingine. Mara ya kwanza tuliona akina Bashiru wakiondolewa na kuwekwa wengine, jana hawapo tena ni wengine tena. Yaani teuzi kama abiria wa daladala! Kupanda kushuka, na kusukumwa pembeni.

Tatizo ni uimara wa mifumo ya uchunguzi au ni akili ya anayeteua? Kwa mbali naona kuendeshwa. Huyo aliyewekwa kama katibu Mkuu Kiongozi, Kusiluka kashikwa mkono kikabila. Namkumbuka Luhanjo na ukabila wake ambaye na huyu ni kabila moja. Mteuaji wetu ni muulizaji kwa rafiki wa Luhanjo, Jamani eeeh! Tutafika kweli?
 
Mtusahaulishe vizuri, bila kupanda mbegu za kutugawa watanzania, habari zilizovuma hivi majuzi kwenye vyombo vya habari kiasi watangazaji na wawekezaji wakaja front page.
 
Naagalia tabia ya binadamu tulivyo wepesi kuamini huyu ana busara kwa kuwa tu, anajidai kuwa na busara kwa kuzungumza kwa upole. Pale ikulu siamini kama tuna mtu wa kuendesha nchi. Tangu nilivyosikia wizi wa wizara ya fedha ukisimuliwa na PM baada ya kifo cha JPM, halafu hakuna kitu! Karibuni tena taarifa chafu hovyo ya CAG hakuna kitu! Leo eti anateua teua!

Hata mimi sioni kama kweli nafasi hizo ni kwa maamuzi ya mwenye fikra. Nimefumbua macho sasa!
Luhanjo (iringa)+Kikwete (rafiki) +Samia (muulizaji) = Kusiluka (iringa)
 
Ndio vizuri wasizidi kujiaminisha. Wapo wengi wenye sifa kama vipi hata huyo nae atenguliwetu ateuliwe Ndugai au mwingine
 
Jana tu kuna teuzi zimefanyika na leo naona uteuzi wa Diwani unafutwa na kuweka mwingine. Mara ya kwanza tuliona akina Bashiru wakiondolewa na kuwekwa wengine, jana hawapo tena ni wengine tena. Yaani teuzi kama abiria wa daladala! Kupanda kushuka, na kusukumwa pembeni.

Tatizo ni uimara wa mifumo ya uchunguzi au ni akili ya anayeteua? Kwa mbali naona kuendeshwa. Huyo aliyewekwa kama katibu Mkuu Kiongozi, Kusiluka kashikwa mkono kikabila. Namkumbuka Luhanjo na ukabila wake ambaye na huyu ni kabila moja. Mteuaji wetu ni muulizaji kwa rafiki wa Luhanjo, Jamani eeeh! Tutafika kweli?
Sio yeye... Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
P
 
Jana tu kuna teuzi zimefanyika na leo naona uteuzi wa Diwani unafutwa na kuweka mwingine. Mara ya kwanza tuliona akina Bashiru wakiondolewa na kuwekwa wengine, jana hawapo tena ni wengine tena. Yaani teuzi kama abiria wa daladala! Kupanda kushuka, na kusukumwa pembeni.

Tatizo ni uimara wa mifumo ya uchunguzi au ni akili ya anayeteua? Kwa mbali naona kuendeshwa. Huyo aliyewekwa kama katibu Mkuu Kiongozi, Kusiluka kashikwa mkono kikabila. Namkumbuka Luhanjo na ukabila wake ambaye na huyu ni kabila moja. Mteuaji wetu ni muulizaji kwa rafiki wa Luhanjo, Jamani eeeh! Tutafika kweli?
Lini utajua kuwa ni 'dharura' na wala si dharula? Aaah, basi rudi Shule kama haikukutoska.
 
Jana tu kuna teuzi zimefanyika na leo naona uteuzi wa Diwani unafutwa na kuweka mwingine. Mara ya kwanza tuliona akina Bashiru wakiondolewa na kuwekwa wengine, jana hawapo tena ni wengine tena. Yaani teuzi kama abiria wa daladala! Kupanda kushuka, na kusukumwa pembeni.

Tatizo ni uimara wa mifumo ya uchunguzi au ni akili ya anayeteua? Kwa mbali naona kuendeshwa. Huyo aliyewekwa kama katibu Mkuu Kiongozi, Kusiluka kashikwa mkono kikabila. Namkumbuka Luhanjo na ukabila wake ambaye na huyu ni kabila moja. Mteuaji wetu ni muulizaji kwa rafiki wa Luhanjo, Jamani eeeh! Tutafika kweli?
Ipo hivi Unaweza Fikiria sie kumbe Kuna watu wana Black Book ya Muhusika na wewe uijui na wala ujaisikia. Wnagapi hapa JF wanalalamika wameoa kumbe mke tayari ana watoto! Au tayari ana ndoa! Kanisa Katoliki kabla ya Ndoa wanatangaza mara 3! Na ata kabla ya Padre ajawafungisha Ndoa anatoa last time - Mwenye kujua sababu ya kizuizi cha ndoa hii ajitokeze......Lakini baada ya miaka inakuja julikana mmoja wa wanandoa ana ndoa 10 yrs back🙁Mama Etu Samia ni Binadamu na Mbali ya kuwahudumia watanzania millioni 60+ Bado ni mama na ni mke wa Mtu hivyo ana majukumu kama mama angu au mama ako kwa baba ako na baba angu na familia Ndugu na wazazi upande wa mumewe na kwake! Na pia ikumbukwe yeye ni Binadamu kama mimi na wewe sote tuna 24 hrs! Na tunatumia Oxygen! TUMPONGEZE NA TUMWOMBEEE KWA MWENYEZI MUNGU NA UKIWA NA NAFASI TUMSAIDIE! Iwapo unamsaidia Mwenyezi Mungu kulisha Maskini na mayatima kwa sadaka na mengineyo! Basi ukiweza msaidie mama yetu Kipenzi aweze kuwafikia watanzia wote na Pia Tumsalie siku zoteMwenyezi Mungu amjalie awe kiongozi Bora, Amjalie hekima kama ya Nabii Suleiman na pia amjalie PEPO YEYE NA FAMILIA YAKE MPAKA KIZAZI CHAKE CHA 18.Tuwe wakweli anafanya kazi na ana mzigo mkubwa ! NAMWOMBE KAMA MIMI KATIKA SALA ZANGU ZA KILA SIKU 1.aongoze vyema 2. Awe mwenye kufuata sheria na haki 3. Ajaliwe busara na Tunzo Kama kiongozi na mama hapa Duniani na akhera!Kumbuka kwako na kwangu yeye ni Rais- ila kuna mtu anamwita Mama na kuna mwingine anamwita my sweet wife na wengine dada, mkwe n.k . Tumsaidie na tumwombee🙏🏽
 
Lini utajua kuwa ni 'dharura' na wala si dharula? Aaah, basi rudi Shule kama haikukutoska.
Niko pembeni nafuatilia na kujifunza JF. Mbona wewe unaona maneno yasiyokuwepo? Au umejitungia makosa na kuyakosoa.
 
Jana tu kuna teuzi zimefanyika na leo naona uteuzi wa Diwani unafutwa na kuweka mwingine. Mara ya kwanza tuliona akina Bashiru wakiondolewa na kuwekwa wengine, jana hawapo tena ni wengine tena. Yaani teuzi kama abiria wa daladala! Kupanda kushuka, na kusukumwa pembeni.

Tatizo ni uimara wa mifumo ya uchunguzi au ni akili ya anayeteua? Kwa mbali naona kuendeshwa. Huyo aliyewekwa kama katibu Mkuu Kiongozi, Kusiluka kashikwa mkono kikabila. Namkumbuka Luhanjo na ukabila wake ambaye na huyu ni kabila moja. Mteuaji wetu ni muulizaji kwa rafiki wa Luhanjo, Jamani eeeh! Tutafika kweli?
Hapana unamuonea.Kusiluka anaweza sana hivyo uwezo wake ndio umembeba.Rais sio mkabila jmn mkoje!
 
Jana tu kuna teuzi zimefanyika na leo naona uteuzi wa Diwani unafutwa na kuweka mwingine. Mara ya kwanza tuliona akina Bashiru wakiondolewa na kuwekwa wengine, jana hawapo tena ni wengine tena. Yaani teuzi kama abiria wa daladala! Kupanda kushuka, na kusukumwa pembeni.

Tatizo ni uimara wa mifumo ya uchunguzi au ni akili ya anayeteua? Kwa mbali naona kuendeshwa. Huyo aliyewekwa kama katibu Mkuu Kiongozi, Kusiluka kashikwa mkono kikabila. Namkumbuka Luhanjo na ukabila wake ambaye na huyu ni kabila moja. Mteuaji wetu ni muulizaji kwa rafiki wa Luhanjo, Jamani eeeh! Tutafika kweli?
Kwahiyo Samia kwao Makambako, Njombe au Dr.Kusilika kwao Makunduchi?
 
Samia ni kilaza,haelewi mambo,yeye anachojua ni kuteua tu,kama vile unaajili shamba boy!haelewi impact ya teuzi zake,nchi anaiona kama NGO
 
Samia ni kilaza,haelewi mambo,yeye anachojua ni kuteua tu,kama vile unaajili shamba boy!haelewi impact ya teuzi zake,nchi anaiona kama NGO
"NGO" Nimeweka mstari neno NGO!
Rais wetu anaamini amepata exposure kupitia NGO. Anaamini NGO ziko safi Kumbe ni hovyo tu! Hakuna aliyeendelea kwa mipango ya NGO! Utaona hata teuzi zake ni aliowafahamu huko kwenye NGO; mshauri wa uchumi. Mtu ambaye ana PhD lakini hajawahi kufanya la maana kwenye uchumi.

Mara miss fulani anateuliwa kuwa balozi, mkuu wa wilaya. Bhana weee! Lini mIss wetu aliyewahi vuta bangi na kukaa jukwani akiwa na kichupi leo awe na akili ya kujiheshimu kuliwakilisha taifa?
 
Back
Top Bottom