OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hata Mobutu alikua hivyohivyo lakini mwisho wake hakuzikwa ZaireSasa hivi kila mtu ni mwoga.Ukisikika au kuonekana unakosoa chama na serikali km ni redio,tv au gazeti lako linafungiwa. Ni ubabe wa kijinga wa baba kujisifu kwa kumpiga mtoto wake. Si shangai kwanini vyombo vyote vya habari vipo kimya. Wanaoweza kuripoti ni BBC na DW basi.! Hii ndo Tanzania tuliyoamua kuitengeneza.
Haaaaaaaaaaaaaaaa,sikua na furaha ila nimeipatia kwenye comment hii.Hii kazi ya meneja wa wasanii kumbe Magufuli anaiweza kuliko Babu Tale na Mkubwa Fela. Katika siku chache hizi amehakikisha wanamziki wote waliojiandikisha kwenye management yake wamezunguka Tanzania
Aaafu kesho utawaona bungeni wanajadili eti nini kinashusha michezo nchini![emoji3064][emoji3064] CCM aliewaroga alishakufaHaaaaaaaaaaaaaaaa,sikua na furaha ila nimeipatia kwenye comment hii.
TumuanZishie lable huenda akaupeleka mziki wetu abroad kwenye "people's are used to die in lakes"
We mjinga kweli, unaona kimefanyika sawa, sasa mechi kesho inachezwa vipi?Wenye husda mmeanzisha threads nyingi juu ya uwanja wa Mkapa,roho zinawauma mpaka basi.
Hata Mobutu alikua hivyohivyo lakini mwisho wake hakuzikwa Zaire
Hawana tofauti na ngedere hawa watu